Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bw. Chacha Wangwe amedai kuwa kama angepata nafsi ya kumpa ushauri Rais basi angemshauri Rais "avunje bunge ili sote turudi kwa wananchi na kuwapa wananchi nafasi ya kuchagua upya viongozi wao". Sasa miye najiuliza, hivi Wangwe anafikiri Rais anaweza kukurupuka tu na kuvunja Bunge? Jamani someni Katiba mnajidhalilisha!
Hodi jamani.
Then, kweli ndugu kakurupuka, sijui alikuwa anawaza nini?
hawa ndio wapinzani wanaotaka tuwapishe waongoze nchi.
mie nnaamini mbali ya kuwa wananchi wana kiu ya mabadiliko lkn wapinzani bado hawajawa tayari kupewa dhamana kubwa kama hiyo. si suala la kujaribu tukifanya mchezo tutafika walipofika wenzetu kwani wao walikuwa makini zaidi kuliko hawa.
CCM endelea kuweka misingi imara na walee hawa wapinzani alau tuanze kuwafikiria baada ya miaka 20
ila kwa sasa kuchagua machafuko kuwapa urais upinzani
Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bw. Chacha Wangwe amedai kuwa kama angepata nafsi ya kumpa ushauri Rais basi angemshauri Rais "avunje bunge ili sote turudi kwa wananchi na kuwapa wananchi nafasi ya kuchagua upya viongozi wao". Sasa miye najiuliza, hivi Wangwe anafikiri Rais anaweza kukurupuka tu na kuvunja Bunge? Jamani someni Katiba mnajidhalilisha!
hawa ndio wapinzani wanaotaka tuwapishe waongoze nchi.
wapinzani bado hawajawa tayari kupewa dhamana kubwa kama hiyo. si suala la kujaribu tukifanya mchezo tutafika walipofika wenzetu kwani wao walikuwa makini zaidi kuliko hawa.
ila kwa sasa kuchagua machafuko kuwapa urais upinzani