Wanigeria, wacameroon na wakongo Mikocheni Resource Centre

Wanigeria, wacameroon na wakongo Mikocheni Resource Centre

Kichakoro

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2008
Posts
3,335
Reaction score
6,186
Ndugu wadau,

Kuna jamaa amenitonya jana alikua mikocheni Resource Centre (MRC) karibu na Hubert Kairuki Hospital wamejaa watu na mataifa mbali mbali hasa west Africa hawafanyi kazi ni madili ya kutapeli watu kwa njia ya simu wakiwa wamekaa makundi mawili hadi matatu tofauti.

Wakati wakaiwa wanafanya hayo wanaongea na mtu wanaotaka kumtapeli kwenye loud speaker kisha mmoja anasogea pembeni anampigia mhusika kwa simu ingine akijidai yupo sehemu ingine ilikumseti mteja wao huo.

Ombi

Serikali kupitia vyombo vyake vyote police usalama miigration na vingine fanyeni uchunguzi hawa watu wanawaliza watanzania, na hata biashara ya madawa inaweza kuwa inafanyika eneo husika.

lakini pili kama mgeni hana shughuli maalumu anayofanya nchini arudishwe kwao kama sivyo

Basi tunaomba serikali itutangazie MRC ni kituo cha wakimbizi wa kinageria etc

Nimetimiza wajibu wangu kama Responsible citizen
 
alafu kuna wanaija wengi sana apa bongo nowdays sijui wanafanya shughuli gani! na wengi wanakuja kwa kuzunguka na mabasi so hawana hata vibali vya kuishi nchin achilia mbali vya kufanyia kazi, wanadunduliza wanaunga unga na mabasi mpaka wanafika apa kwa njia za panya!!!
 
Binaadamu yoyote yuko huru kwenda sehemu yoyote ile acheni mambo yenu nyie.
 
Binaadamu yoyote yuko huru kwenda sehemu yoyote ile acheni mambo yenu nyie.

Sawa; lakini ndio avunje sharia za nchi husika? Kama vipi nenda Saudi Arabia ukiwa umevaa kimini na kitopu halafu uone cha moto.
 
Ndugu wadau,

Kuna jamaa amenitonya jana alikua mikocheni Resource Centre (MRC) karibu na Hubert Kairuki Hospital wamejaa watu na mataifa mbali mbali hasa west Africa hawafanyi kazi ni madili ya kutapeli watu kwa njia ya simu wakiwa wamekaa makundi mawili hadi matatu tofauti.

Wakati wakaiwa wanafanya hayo wanaongea na mtu wanaotaka kumtapeli kwenye loud speaker kisha mmoja anasogea pembeni anampigia mhusika kwa simu ingine akijidai yupo sehemu ingine ilikumseti mteja wao huo.

Ombi

Serikali kupitia vyombo vyake vyote police usalama miigration na vingine fanyeni uchunguzi hawa watu wanawaliza watanzania, na hata biashara ya madawa inaweza kuwa inafanyika eneo husika.

lakini pili kama mgeni hana shughuli maalumu anayofanya nchini arudishwe kwao kama sivyo

Basi tunaomba serikali itutangazie MRC ni kituo cha wakimbizi wa kinageria etc

Nimetimiza wajibu wangu kama Responsible citizen

FYI: owner wa ile kitu ni Kigogo wa NIDA sasa utajua mwenyewe kama ni yule bwn maimu ama LA!

Wazee kung'oa ukucha pale wako wa kumwaga hasa kuanzia alhamis!

Tabia za matapeli hua wanakunywa / kujirusha siku ambazo ww unatumia PC ya ofisini kupost huu Uzi..j3, j4 na j5 wao Bata zao mchana wakati we we uko busy na mavikao ya ofisi..

Napita tu!
 
Sawa; lakini ndio avunje sharia za nchi husika? Kama vipi nenda Saudi Arabia ukiwa umevaa kimini na kitopu halafu uone cha moto.

Hatuwezi kushughurikia waharifu kwa kuangalia uraia wao, wapo watanzania wanafanya uharifu huko kwenye nchi zingine wanashughurikiwa kwa mujibu wa sharia za huko sio uraia wao.

tukianza kufanya maamuzi kwa misingi ya uraia wa watu ni kuharalisha ubaguzi wa kishenzi.
 
Mkuu karibu Syria...

Binamu mambo vipi?

Tujihepushe na ubaguzi,mimi nimepata kuingia Israel bila viza, ni mtu tu alinishika mkono kumbuka hatuna hata mahusiano ya kibarozi na nchi hiyo.

hizi sharia za kimataifa na mipaka zisiwe sababu ya kupanua tofauti zetu ambazo kimsingi hazipo, wote tuko hapa by chance sio choice sasa kwa nini tuzuie wengine kuja.

itafikia hatua watu wataanza kupinga waharifu kuzaa.
 
Binamu mambo vipi?
Tujihepushe na ubaguzi,mimi nimepata kuingia Israel bila viza, ni mtu tu alinishika mkono kumbuka hatuna hata mahusiano ya kibarozi na nchi hiyo.
hizi sharia za kimataifa na mipaka zisiwe sababu ya kupanua tofauti zetu ambazo kimsingi hazipo, wote tuko hapa by chance sio choice sasa kwa nini tuzuie wengine kuja.
itafikia hatua watu wataanza kupinga waharifu kuzaa.
Una maana njema kabisa na ninaiunga mkono ila haizuii kuwa na jicho la shaka kila inapobidi kuwa hivyo. Kwa mfano wakati wewe unaingia Israel kwa kushikwa mkono tu labda kuna mwingine Palestine kapoteza familia nzima sababu ya machafuko ilhali yeye hana uhusiano na wanaopambana, paradoxes are real mkuu!!!
 
Una maana njema kabisa na ninaiunga mkono ila haizuii kuwa na jicho la shaka kila inapobidi kuwa hivyo. Kwa mfano wakati wewe unaingia Israel kwa kushikwa mkono tu labda kuna mwingine Palestine kapoteza familia nzima sababu ya machafuko ilhali yeye hana uhusiano na wanaopambana, paradoxes are real mkuu!!!

Mkuu nadhani unaona taarifa zinazowekwa hapa kila siku kwamba Mtanzania akienda Hong Kong anasachiwa mpaka sirini sababu likely kuna officer mmoja mpumbavu pale kasema watanzania wote wanabeba unga.

Mkuu,Madhara ya kisaikolojia ya kubaguliwa ni makubwa sana. Sisi waafrica ni wahanga wakuu wa ubaguzi duniani, mpaka leo tunabaguliwa kwa ujumla sababu tu tunatoka Africa.

Sasa na sisi tukianza kujibagua itakuwaje mkuu?
 
Ukiongea sana utaambiwa '' acha wivu kwa wawekezaji''

Hii ni nchi ambayo mgeni ana fursa kubwa kuliko raia.

Asante kwa taarifa.
 
Back
Top Bottom