wanipendao siwapendi na nimpendae haonyeshi kunipenda kwa dhati nifanyeje?


PHD student..............hapo dada lazima uwe muangalifu kidogo, hicho kisomo, kinatisha vijana wengi!!!!, Ukianza kujuana na kijana usimuulize kasoma mpaka wapi, nawe pia usimueleze kisomo chako.
 

Mkuu I believe ni Mhubiri 3:1ff...
 
Dada, we ni Mhaya!?? lol..maana hata jina lako linakaa kihivohivo..wakujisifusifu!
Kuwa mpole..na kama kweli wamwamini Mungu endelea kuomba..hakuna lisilowezekana kwake!
But first..jiangalie, jichunguze, do u have the qualities of a wife!??
Otherwise, hata celibacy ni lifestyle....
 
PHD student..............hapo dada lazima uwe muangalifu kidogo, hicho kisomo, kinatisha vijana wengi!!!!, Ukianza kujuana na kijana usimuulize kasoma mpaka wapi, nawe pia usimueleze kisomo chako.

Ndoa haina PHD wala JAMAA ZAKE..... nyie mnaoshauri kwa misingi ya elimu.... mnakosea... NIPO NAKUSUBIRI dada Ni PM nami nimejeruhiwa siwaamini wanawake... labda kwa story yako naweza kukuamini
 
Ndoa haina PHD wala JAMAA ZAKE..... nyie mnaoshauri kwa misingi ya elimu.... mnakosea... NIPO NAKUSUBIRI dada Ni PM nami nimejeruhiwa siwaamini wanawake... labda kwa story yako naweza kukuamini

Nakubaliana na hiyo red
 
ndugu yangu mimi siyo Mhaya lakini siamini kuwa Wahaya ni watu wa kujisifusifu kama ulivyosema, sipendi kutumia mapungufu ya mtu mmoja kuwahukumu watu wote. ninashukuru kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi.
 
ninapenda kuwashukuru kwa moyo wa dhati wale wote walioweza kuacha majukumu yao na kuamua kutumia busara zao kunishauri pamoja na kuniombea, ninasema asanteni sana kwa ushauri maana nimeweza kufarijika kwa mawazo yenu ya msingi. kwa wale wachache walioandika kwa mtazamo hasi napenda kuwashukuru pia maana hayo ndio maoni na mtazamo wao ila napenda kuwaambia kuwa siku zote tujifunze kuona matatizo au furaha za wengine ni mafanikio yetu ama matatizo yetu pia kama wanadamu ambao ni wasafiri hapa ulimwenguni.
nazidi kuomba ushauri na maoni yenu ili viweze kunisaidia katika hali inayonisibu kwa sasa. Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki katika maisha yenu.
 


Hapo umenena Seniorita manake haya mambo hayana formula, bora kuweka Imani kwa Mungu tu dada yangu,
Kwani kujiingiza kwene uhusiano na mtu mwingine kichwa kichwa unaweza ukajikuta unajiongezea machungu na majeraha moyoni.

Wala swala la umri lisikusumbue, Kumbuka sisi hatuijui kesho yetu itakuwa je, lakini Mungu yeye anajua.
Ni kweli uko katika wakati mgumu, ni kweli unaumia lakini mtazame Mungu zaidi, afadhali akamtafuta Mungu huku ukifanya mambo yako,
wakati wa Mungu ukifika utashangaa mambo yanakuwa marahisi.
 
ndugu yangu mimi siyo Mhaya lakini siamini kuwa Wahaya ni watu wa kujisifusifu kama ulivyosema, sipendi kutumia mapungufu ya mtu mmoja kuwahukumu watu wote. ninashukuru kwa ushauri wako nitaendelea kuufanyia kazi.

au we mhehe? Mvuto unahusika pia. Nitakupm tuongee vizuri kama utakuwa tayari
 
Hakuna jibu zaidi ya lile la kumwomba Mungu kwa vile.
1. Hakuna formula ya kujua akupendaye
2. Mapenzi hayahusiani na shule, utajiri/umaskini au kabila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…