Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji109] [emoji106] [emoji817] [emoji781] [emoji779] [emoji817] [emoji779]Kuna watu humu hawajamwelewa mleta mada amemaanisha hivi..
Mdada akiwa anapaka wanja kope za chini ya jicho(kope zilizopo chini zinapakana na pua kwa cm chache) wakati wa kupakwa automatic unakua kama unaZomea hiv kwa wale waoga wenzangu vimachozi havikosekani machoni[emoji16][emoji16][emoji16][emoji6]