Wankyo Nyigesa, RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi

Bodaboda wanavunja sheria nyingi sana na hawako juu ya sheria

It is ok kuwakamata bodaboda
 
 
Duuuhhh......akipelekwa Desk Kule HQ Dom atamlilia Nani? Ngoja tuone! Au jamaa alishaweka kambi Mkoa wa Pwani ? As huwezi kutoka Bandari ya DSM Na usipite Mkoa wa Pwani!!!!!!kipolisi Pwani kitovu cha ulaji!!!!!
Kunywa soda
 
Tayari ameshainuliwa kama yule mwenzake aliyenyonyolewa nyota[emoji3][emoji3]
 
'Nikiwa igp nitafanya makubwa zaidi' hii ni dharau kwa aliepo. Unatakiwa umhurumie kwa alio yasema, si kumsifu. Alipotoka sana. Bangi zimempeleka pabaya.
 
One day select Wankyoo hhaaaaaaaa



Ivi kwenye sherehe kulikuwa na K-vant? au waragiii ? au ze doni?
 
Aombe IGP Sirro awe hajamsikia au awe amemsikia halafu amempuuzia kwa sababu anazozijua yeye
Actually huyu mtu ndiyo anaweza kupata favour ya kuwa recommended na Sirro kuwa the next IGP. Alichojaribu kuonyesha hapa ni viision na si kwamba anahitaji cheo cha IGP wa sasa kwa sababu IGP ni presidential appointment,na yeye hana malaka ya kumtoa IGP aliyepo sasa.

Hili jamaa limeshajifagilia hadi kwa Rais, na kama lina qualifications zinazohitajika; kuna uwezekano mkubwa sana IGP pamoja na Rais wakam-consider mtu huyu kwa cheo hicho. Hata kama ningekuwa mimi kwenye position za watu hawa wawili amabo ndito wanaohuiska na uteuzi wa IGP atakayefuata, ningewenza kumfikiria kwanza huyu jamaa. Kwanza kitu kingine alichokionyesha hapa ni kwamba yuko wazi; napenda watu ambao wako wazi hawakai wameficha ficha siri nyingi rohoni. Huyu jamaa wakimfikiria kwa nafasi hiyo, mimi nitafurahi
 
Ameshaamishwa ddm makao makuu haijajuoikana nn haswa aliwaza
 
Dah! Kuna viungo vya kuvichunga sana kwenye miili yetu kwa sisi wanaume! Athumani kichwa wazi, na ulimi!

Yaani dk 0 tu, umeshaharibu kila kitu, halafu yanabakia tu majuto ni mjukuu.
Hili jambo nimejiuliza na siamini ACP hajui mipaka yake kipi na kipi dio cha kuongea.
Huenda anatibua maji samaki watoke juu wavuvi wavue cc IGP
 
Unajua kanuni za majeshi yetu mkuu?
Huyu jamaa aidha ametumwa amchokoze Sirro makusudi au alikuwa amelewa
 
Majibu tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…