Jamani msiniue bure haya maneno ya kwenye signature yangu hapo chini sikuyatunga mie,ni methali ya kihaya, nimezaliwa nikaikuta na maana yake ni kwamba ukiamua kutembea nje ya ndoa/mahusiano basi chagua njemba/demu ambaye kimuonekano ni bora kuliko mwenza wako ili hata kama ukibambwa basi mwenzio angalau pamoja na hasira kimoyo kimoyo ajisemee 'lakini...mmmhh.....mwenzangu aliopoa kifaa.....' sio akukamate na kamjamaa/kasichana kamekaa kaa ka kakuku ka kienyeji!
weeeee!? nani kasema!!!!kwan juis si ile ile tu?
Jamani msiniue bure haya maneno ya kwenye signature yangu hapo chini sikuyatunga mie,ni methali ya kihaya, nimezaliwa nikaikuta na maana yake ni kwamba ukiamua kutembea nje ya ndoa/mahusiano basi chagua njemba/demu ambaye kimuonekano ni bora kuliko mwenza wako ili hata kama ukibambwa basi mwenzio angalau pamoja na hasira kimoyo kimoyo ajisemee 'lakini...mmmhh.....mwenzangu aliopoa kifaa.....' sio akukamate na kamjamaa/kasichana kamekaa kaa ka kakuku ka kienyeji!