Mkuu,pole sana unataka kushindana na NHC nakuuliza swali la kijinga wamekufanya nn kwani?NHC wana assets za azimio la arusha tangu,umezaliwa lini wewe?naona huyo ni mtoto wa juzi kweli
Wazo lako kibiashara si zuri sababu umelenga kwenye ku-compete.Biashara unapoanza hulengi ku-shindana na yeyote una lenga ku-satisfy needs za target market fulani.Wewe bado mtoto mdogo mno kibiashara hangaikia tu namna ya kuanza hako kabiashara kako kataanzaaje! Hiyo milioni 100 kwenye real EState ni hela ndogo mno hata ukitaka kuwa agent wa kupangisha nyumba za watu haitoshi kuweka bond mtu akakuamini akakukabidhi apartments zake umwendeshee kwa commission au kwa kukupangishia
Ukiingia ku-compete na hiyo milioni 100 na giants kama National Housing Corporation utaishia kufia njiani hela hiyo itaishia tu kwenye matangazo na ku-create tu awareness kwenye public ya kujitangaza kuwa wewe mura toka musoma uko mujini kwenye biashara ya nyumba.
how?peanut money labda uanzie mikoani b'cause that cash can buy a very small plot may be magomeni or kimara | for quick fast expansion you need to stay at city center