Mnapenda kukuza mambo ambayo hayana tija. Kuna makabila Kenya, nadhani ni makabila mawili, ya Luo na Turkana, ambayo utamaduni wao haukuwa unatambua mambo kama kukatwa govi. Baada ya kushawishiwa na serikali ya Kenya miaka michache iliyopita. Kwamba kuna manufaa ya kiafya ambayo yanaambatana na kutahiriwa wengi wao walijitokeza na wakatahiriwa bure kwenye vituo vya afya. Hamna la ajabu hapo, mimi binafsi sioni ikiwa tatizo kama mtu atachagua kutahiriwa au kukosa kutahiriwa. Govi la akilini ndio huwa lina madhara makubwa kwa maendeleo ya nchi na ya watu binafsi pia. Hayo mengine yote sio ya maana vile.Alafu ndo mnataka kushindana na TZ?? Embu kakateni magovi kwanza.
Una mkono waswetaMnapenda kukuza mambo ambayo hayana tija. Kuna makabila Kenya, nadhani ni makabila mawili, ya Luo na Turkana, ambayo utamaduni wao haukuwa unatambua mambo kama kukatwa govi. Baada ya kushawishiwa na serikali ya Kenya miaka michache iliyopita. Kwamba kuna manufaa ya kiafya ambayo yanaambatana na kutahiriwa wengi wao walijitokeza na wakatahiriwa bure kwenye vituo vya afya. Hamna la ajabu hapo, mimi binafsi sioni ikiwa tatizo kama mtu atachagua kutahiriwa au kukosa kutahiriwa. Govi la akilini ndio huwa lina madhara makubwa kwa maendeleo ya nchi na ya watu binafsi pia. Hayo mengine yote sio ya maana vile.
Nilisimama mtoni chee ya jogoo wa kwanza na nikatizama kisu kwa ujasiri na sikuweweseka wala kufumba macho. Ila ujue sikuelewi. Kwanini una hamu sana ya kujua hali ya mali ya Mama Nyambura? We vipi wewe, wewe ni boflo nini?Una mkono wasweta