Wanunuzi wa Almasi na Dhahabu, Tanzania

Shukrani sana kwa elimu tosha hii mkuu....Nina swali la nyongeza ....
Mfano inatokea umepata Buyer nje na amekupa offer ambayo Kibongo bongo ipo juu kuliko ulivyokua ukiuza Locally, let's say amekupa offer ya $ 500 per 1 gram......huku ulipoenda kwa Wizarani kwa makadirio ya Kodi na thamani halithi ya MADINI husika, wakakwambia kwa aina ya Madini unayotaka kufanya biashara thamani yake kwa soko la nje ni let's say $ 800 per 1 gram.....

Je...! Serikali hukadiria kodi kwa thamani ya madini ambayo wapo nayo wao au kwa bei ambayo inaonekana kwenye Documents za mauziano kati ya Seller na Buyer.....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…