Wanunuzi wa hela za zamani

Wanunuzi wa hela za zamani

Dela

Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
78
Reaction score
13
Habari za Leo Wakuu? Nimepita sehemu moja wakanimbia kuna baadhi ya coins hasa za Ujerumani ukiwanazo basi unauza bei ya maana, mamilioni ya shilingi za Kitanzania. Naomba kuuliza kuhusu hela zetu za Tanzania na East Africa zenyewe zimefikia huko au la? maana nimepata senti hamsini na nyingine za kizamani sasa sijui dili au niwawekee wajukuu ukumbusho?
Natanguliza shukrani.
 

Attachments

  • IMG0162A.jpg
    IMG0162A.jpg
    7.5 KB · Views: 1,224
  • IMG0163A.jpg
    IMG0163A.jpg
    8.8 KB · Views: 976
Habari za Leo Wakuu? Nimepita sehemu moja wakanimbia kuna baadhi ya coins hasa za Ujerumani ukiwanazo basi unauza bei ya maana, mamilioni ya shilingi za Kitanzania. Naomba kuuliza kuhusu hela zetu za Tanzania na East Africa zenyewe zimefikia huko au la? maana nimepata senti hamsini na nyingine za kizamani sasa sijui dili au niwawekee wajukuu ukumbusho?
Natanguliza shukrani.

Wekea wajukuu ukumbushu
 
kaka za zile hela ambazo zinanunuliwa bei ghali ni sababu zilikuwa zimetengenezwa kwa dhahabu so ukiskia zinauzwa ujue zinauzwa kama vipande vya dhahabu.

mfano dhahabu gram moja ni 130,000 na wewe ukapata kacoin kana gram 10 ujue utalipwa milion 1 na laki 3.

hela za bongo zinauzwa ebay naziona nyingi ila hazina thamani zimetengenezwa na shaba.

ingia hapa utaona zinauzwa dola 1, 2 nyengine dola 3 ya ghali sana nimeona kuna rupia ya enzi za mjerumani inauzwa dola 29.

http://www.ebay.com/bhp/tanzania-coin
 
Habari za Leo Wakuu? Nimepita sehemu moja wakanimbia kuna baadhi ya coins hasa za Ujerumani ukiwanazo basi unauza bei ya maana, mamilioni ya shilingi za Kitanzania. Naomba kuuliza kuhusu hela zetu za Tanzania na East Africa zenyewe zimefikia huko au la? maana nimepata senti hamsini na nyingine za kizamani sasa sijui dili au niwawekee wajukuu ukumbusho?
Natanguliza shukrani.

Maeneo gani hayo wananunua
 
Hilo ni kweli kabisa na kuna wajermani hapa dar es salaam wanatafuta rupia nyekundu na ya makuti na noti ya sh mia nyekundu ya masai ameshika mkuki na pembeni kuna redio ya 277 na sh 5 ya yerere anaendesha trectan
 
Habari za Leo Wakuu? Nimepita sehemu moja wakanimbia kuna baadhi ya coins hasa za Ujerumani ukiwanazo basi unauza bei ya maana, mamilioni ya shilingi za Kitanzania. Naomba kuuliza kuhusu hela zetu za Tanzania na East Africa zenyewe zimefikia huko au la? maana nimepata senti hamsini na nyingine za kizamani sasa sijui dili au niwawekee wajukuu ukumbusho?
Natanguliza shukrani.
Mkuu unaweza kunipa contact za wanunuzi maana ninazo coin na bank notes nyingi za ndani na nje ya tz.
 
hii ni sawa na yule jamaa alikwenda kijiji fulani akanunua paka wote kwa bei ya 10000, kaenda kuwaficha baada ya miezi kadhaa akarudi kutafuta paka wengine kwa bei ya laki moja. unajua ni nini kilitokea? Hadi leo kile kijiji wanalia. Siku zote akili huondoa maarifa.
 
00 hizi kubwa kabla ya hizi mpya 15 shilingi laki na 50

nina 5000 hizi kubwa kabla ya hizi mpya 2 shilingi 10000

nina 2000 hizi kubwa kabla ya hizi mpya 1 shilingi 2000

nina 1000 hizi kubwa kabla ya hizi mpya 1 shilingi 1000
jumla =======163000
nipeni utaratibu ni bahasha yangu ya 2007 nimezikuta nipokilimanjaro now
 
Back
Top Bottom