LULAMSO
Member
- Apr 26, 2013
- 56
- 9
Habari za mapambano wajasiliamali wenzangu.
Nimezalisha pilipili mbuzi zakutosha sana, kwa anaehitaji kwa matumizi mbalimbali kama vile chachandu, chill, kuuza kwa walaji wa kawaida wakiwemo wafanyabiashara wa nyama choma na mahotelini n.k, naomba tuwasiliane kwa namba 0622243034 au 0767243034.
Nipo Iringa, karibuni sana!
Nimezalisha pilipili mbuzi zakutosha sana, kwa anaehitaji kwa matumizi mbalimbali kama vile chachandu, chill, kuuza kwa walaji wa kawaida wakiwemo wafanyabiashara wa nyama choma na mahotelini n.k, naomba tuwasiliane kwa namba 0622243034 au 0767243034.
Nipo Iringa, karibuni sana!