Wanyakyusa mko juu

Black listed

Senior Member
Joined
Apr 6, 2023
Posts
181
Reaction score
260
Nahisi makatapera yanawasaidia sana, hivyo komaeni kuyazalisha na kuyatumia (kuyala) ipasavyo. Angalia vichwa hivi:
1. Wakili msomi Mwambukusi
2. Dr. Tulia Akson
3. Professor Mwafyenga (digrii 10)
4. Professor Mwandosya
5. Dr. Mwakyembe
6.
7.
8.
9.
Ongezea wengine (usimtaje Sugu, huyu siyo Mnyakyusa).
 
We ndugu hebu fungua code.

Maana uliowataja hata makabila mengine wana watu aina hiyo
 
Nimekupata mtoa mada umepiga namba 6 au r hasa huyo namba 2 ndio boga wa taifa wapunguze kuyala ili mtindio wa akili upungue hivi huyo wa digrii kumi zimelisaidia nini taifa hizo ngebe? Nauliza tu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…