flintsky JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 654 Reaction score 746 Sep 1, 2016 #1 ........Kuna Mnyakyusa ameishukuru mno Serikali kwa kupendekeza Mbeya ndio iwe sehemu ya kupatwa kwa Jua.....Lol Wanyakyusa mnaniangusha jamani. Na nyie watu wa TV muwe mnangalia watu wa kuwahoji....Lol[emoji28][emoji38][emoji28]
........Kuna Mnyakyusa ameishukuru mno Serikali kwa kupendekeza Mbeya ndio iwe sehemu ya kupatwa kwa Jua.....Lol Wanyakyusa mnaniangusha jamani. Na nyie watu wa TV muwe mnangalia watu wa kuwahoji....Lol[emoji28][emoji38][emoji28]
nyumbatatu JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 1,076 Reaction score 939 Sep 1, 2016 #2 Majina mapya huko Mbeya., Mwakupatwa Mwakajua Mwakamwezi Tulimwezi Atupatwile twa jua
Kitikiti JF-Expert Member Joined Nov 4, 2015 Posts 353 Reaction score 249 Sep 1, 2016 #3 nyumbatatu said: Majina mapya huko Mbeya., Mwakupatwa Mwakajua Mwakamwezi Tulimwezi Atupatwile twa jua Click to expand... Hayo ndio majina ya maaskofu? Nasikia mbeya wana makanisa mengi kuliko yote humu duniani.
nyumbatatu said: Majina mapya huko Mbeya., Mwakupatwa Mwakajua Mwakamwezi Tulimwezi Atupatwile twa jua Click to expand... Hayo ndio majina ya maaskofu? Nasikia mbeya wana makanisa mengi kuliko yote humu duniani.
bbc JF-Expert Member Joined Jan 18, 2016 Posts 3,836 Reaction score 4,146 Sep 5, 2016 #4 Mwingine alipendekeza iwe kila wiki ili biashara itoke[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] !
kopites JF-Expert Member Joined Jan 28, 2015 Posts 9,229 Reaction score 11,531 Sep 5, 2016 #5 Ha ha haaa