Wanyama & wadudu wangekuwa wanatumia whatsapp

BoManganese

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2017
Posts
980
Reaction score
2,679
Basii status zao zingekuwa kama hivi


MENDE:- "nimekoswa na guu la mama mwenye Nyumba, maisha yangu mashakani, why always me???? "

PANYA:- "Jana nimekula sharti la boss linanuka kikwapa ile mbaya na leo nimekula nguo lenye pafyumu, nasikiaje kiu. uwiiiii"

NGURUWE:- Binadamu wabaya jamani, wameshanizushia nasambaza mafua "

MBU:- Sijui nina HIV, nimekomaje kunyonyanyonya hovyo.

MBUZI:- Tehe tehe tehe. thanks God pasaka imepita. ni kula BATA tuu mpaka christmas.

KUKU:- "Friends mkiona kesho kimya mjue nipo mezani maana kuna wageni wamekuja leo hapa home, tuombeane uzima wapendwa, love you all".


Cc:Not nonsence it's just for fun
Enjoy!!
 
Ahahaaaaaah, na fahari angesikika,
Daaaah sijui kesho wamepanga kunilimisha ekari ngapi, binadam wababe sana hata hawanishirikishi
 
Carlos J, Mkuu nimekubless kwa kukupa like yako ya kwanza kabisa hapa JF...[emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…