Wanyama watano wanaopewa heshima jeshini

Ongezea na huyu
Bundi LA simbawanga.


Huyu ndie kiumbe che heshima za kijeshi zaid kilichokua kikitumika kama rada na pia kuwa kama GPS ya sumbawanga .

Mwaka 1995 kiliweza kupiga king'ora take katika paa LA ikuru na kusabisha mheshimiwa kuondolewa haraka maeneo yaliokua yakitarajiwa kuvamiwa na wasumbawanga. Kiumbe huyu na jeshi lake kilifail has a kilipokutana na jina LA YESU Mwana WA Mungu Anaeishi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Mungu wangu

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Bongo njaa kali jeshi linafuga njiwa wa kutuma ujumbe mara wanashangaa anakonda tu kumbe kuna wanajeshi wanaiba mtama wanaenda kuuza.
Au wanakula wenyewe, hawataki shida kabisa

Na huyo mbwa biskuti zake wanapelekewa watoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ww subiri wakusikie
 
hahahaahahahahahah daaaah nimecheka sana mkuu...

kweli PAMBANA NA HALI YAKO
 
Hayo yote tisa, lakini mnyama anaeheshimika zaidi jeshini ni mwanamke[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana wanajeshi kwa kuchapa hata awe na madem tisa ye anatembeza rungu tu[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]

sent from my Samsung smart tv using JamiiForums
 
Mimi nilidhani nitakuta wanyama kama paka, mbwa, sungura, twiga...kumbe ni wanyama wa huko ulaya!!
 
Bongo njaa kali jeshi linafuga njiwa wa kutuma ujumbe mara wanashangaa anakonda tu kumbe kuna wanajeshi wanaiba mtama wanaenda kuuza.
Au wanakula wenyewe, hawataki shida kabisa

Na huyo mbwa biskuti zake wanapelekewa watoto
mkuuu umenichekesha sanaaaa wajeda wakikukatama halali yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…