[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mnyama T.I.D yeye ni jeshi la wapi?
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
6: MA PADLOCK
Huyu ni jamii ya samaki aina ya tilapia/sato amejipatia umaarufu kunzia miaka ya 2008 ila umaarufu wake uliongezeka kufikia mwaka 2015, alipovikwa mavazi ya kijeshi yani full combat na kuogelea nazo masaa 72. Alitunukiwa cheo cha Amiri Jeshi Mkuu, baada ya kukabidhi kivuko cha Jamuhuri katika Jeshi. Ameisaidia nchi fulani kuweza kushinda kesi za Samaki.
"PAMBANA NA HALI YAKO"
Tanzania tuna Bashite, Anatosha!Ungetuwekea na wa Tanzania...kwani wapo pia!
DasalamaMnyama T.I.D yeye ni jeshi la wapi?
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Mungu wangu
6: MA PADLOCK
Huyu ni jamii ya samaki aina ya tilapia/sato amejipatia umaarufu kunzia miaka ya 2008 ila umaarufu wake uliongezeka kufikia mwaka 2015, alipovikwa mavazi ya kijeshi yani full combat na kuogelea nazo masaa 72. Alitunukiwa cheo cha Amiri Jeshi Mkuu, baada ya kukabidhi kivuko cha Jamuhuri katika Jeshi. Ameisaidia nchi fulani kuweza kushinda kesi za Samaki.
"PAMBANA NA HALI YAKO"
Mkuu sio punda wa dobi kweli ??Huku pia kuna punda,anaheshimka kweli aliwasaidia mgambo kubeba mizgo pind wanapambana na wamachinga
Post sent using JamiiForums mobile app
Hatokei kolomije kweliKama kuna msukuma humu anajua heshima ya fisi,anaweza akakutoa mwanza hadi Congo DRC usiku mmoja tu bora ujishikilie na kufuata masharti ipasavyo
BashiteMnyama T.I.D yeye ni jeshi la wapi?
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Kibiti mkuuMnyama T.I.D yeye ni jeshi la wapi?
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ww subiri wakusikieBongo njaa kali jeshi linafuga njiwa wa kutuma ujumbe mara wanashangaa anakonda tu kumbe kuna wanajeshi wanaiba mtama wanaenda kuuza.
Au wanakula wenyewe, hawataki shida kabisa
Na huyo mbwa biskuti zake wanapelekewa watoto
hahahaahahahahahah daaaah nimecheka sana mkuu...
6: MA PADLOCK
Huyu ni jamii ya samaki aina ya tilapia/sato amejipatia umaarufu kunzia miaka ya 2008 ila umaarufu wake uliongezeka kufikia mwaka 2015, alipovikwa mavazi ya kijeshi yani full combat na kuogelea nazo masaa 72. Alitunukiwa cheo cha Amiri Jeshi Mkuu, baada ya kukabidhi kivuko cha Jamuhuri katika Jeshi. Ameisaidia nchi fulani kuweza kushinda kesi za Samaki.
"PAMBANA NA HALI YAKO"
Mimi nilidhani nitakuta wanyama kama paka, mbwa, sungura, twiga...kumbe ni wanyama wa huko ulaya!!Kwa kawaida wanyama hurahisisha maisha ya binadamu kwa kuwa walinzi, chakula na usafiri lakini kuna baadhi ya wanyama na ndege walioweza kujiwekea heshima duniani hasa kwenye sekta maalum za kijeshi na wameweza kupata nafasi za juu jeshini.
1: SIR NILS OLAV
Nils Olav ni ndege aina ya Penguin aliyepewa cheo mara ya kwanza mwaka 1972 na kuwekwa kwenye timu ya walinzi wa mfalme Harald V Loudon wa Norway. Kwa sasa Sir Nils Olav ni Brigedia anapewa heshima zote za kijeshi ikiwemo kupigiwa saluti na kukagua jeshi.
2: TREO
Ni mbwa aliyetumikia jeshi la Uingereza kuanzia mwaka 2001 mpaka 2015. Trio ana medali zisizopungua 63 ambazo alipewa baada ya kufaya kazi kubwa ya kutegua mabomu na kutambua mahali mabomu yalipofichwa.
3: WILLIAM OF ORANGE
William ni njiwa aliyekuwa mwanajeshi wa jeshi la Uingereza mwenye namba MI14 ambapo mwaka 1944 alipewa medali ya 21 baada ya kupeleka ujumbe uliookoa vifo vya zaidi ya wanajeshi 2000 kwenye vita ya Arnhem wakati wa Vita ya Pili ya Dunia.
4: TAFFY IV.
Huyu ni mbuzi aliyetumikia jeshi la Uingereza tangu mwaka 1775 ambaye alichukuliwa kwa mara ya kwanza mwaka 1774 na kuingizwa kwenye jeshi maalum la Uingereza alipokutwa anarandaranda porini. Alipewa medali ya 14 ambayo ni maalum waliyopewa wanajeshi wa Uingereza wakati wa Vita ya Kwanza ya Dunia (WWI).
5: LIN WANG
Ni tembo aliyekuwa mwanajeshi wa jeshi la China kuanzia mwaka 1942 ambapo alitumika kujenga majengo marefu ya jeshini, kusafirisha chakula wakati wa vita na alitumika kama kivutio kwa ajili ya kukusanya fedha wakati wa njaa kipindi cha vita na kupewa medali 12 za kijeshi.
mkuuu umenichekesha sanaaaa wajeda wakikukatama halali yaoBongo njaa kali jeshi linafuga njiwa wa kutuma ujumbe mara wanashangaa anakonda tu kumbe kuna wanajeshi wanaiba mtama wanaenda kuuza.
Au wanakula wenyewe, hawataki shida kabisa
Na huyo mbwa biskuti zake wanapelekewa watoto
15-40 yersBrigedia Nils Olav katisha sana hivi life span ya penguin ni miaka mingapi?