Wanyama watano wanaopewa heshima jeshini

Kwa iyo hata jeshi letu linawapa heshima au me ndo sijaielewa iyo heading?
 
Hao hawana lolote kwa faru wetu fausta na john wanaheshmika balaaa bora uishike sirikali matako kuliko hao viumbe

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
What if hao faru pia walikuwa wanawafanyia kazi?Si unajua wote ni zawadi kutoka kwao?
 
Imekaa vzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule bundi wa bungeni hana Ranks kweli

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Pia tuna kasuku na ngedere pale magogoni vipi wao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
watu mna balaaaa
 
Nina lipaka shume langu hapa om linakazi ya kufunua masufuria ya mboga na kunya kwenye unga cjui nilifanye nn, πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡πŸ˜‡
 
Ivi hawa wanayama Nani hua anachukua mishahara yao na posho ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…