nafikiri ilikuwa zaman, bibi yangu kwa upande wa mama ni mnyamwez, kweli alikuwa msafi, mnyenyekevu, haropoki hovyo, mtaalam haswa wa mapish naalikuwa mstaarab, mkarim, hana uchoyo na mpole sana mpaka anakufa, nlikuwa nam admire sana na ALINIFANYA NIAMIN WANYAMWEZ WAPO HVO,
Ila baada ya kukutana na kufahamiana na mama hy ambae tuna undg wa mbali na mme wake, nimeaminkwenye msafara wa mamba kenge hawakosekan, kwanza sio mkarim huyu mama, mchoyo, mropokaji na anapenda ugomvi ingawa anajitia mlokole, hawapend ndg wa mme wake, yaan kwa kifup hana sifa nzur.........ni mnyamwez typical huyu mama...............