bha'aabhoooo...karibuni,
zya nsiko...habari za siku,
mwee wapanga...hamjambo?,
mwangaloka...habari za asubuhi,
wa kukaya...wa nyumbani,
kalibhu halugo...karibu nyumbani,
kalibhu hakaaya...karibu nyumbani
Ikingilima...day-break/alfajiri na mapema
Mkweela...shemeji/wifi
Yaayo/nina...mama,
natoolile...nimeshaoa,
Tujaage...twende
Le kasheshe...aina ya mzigo/shehena nzito (zaidi huwa mazao) ifungwayo na kuendeshwa kwa baiskeli tena kwa taabu sana,
Igosha lya kapanga...MWANAUME WA SHOKA.
Wadau nawasilisha semo za lugha adhimu ya unyanyembe...nyamwezi land.