#COVID19 Wanyarwanda waliotoroka chanjo ya Covid-19 nchini mwao wamerejeshwa nyumbani

#COVID19 Wanyarwanda waliotoroka chanjo ya Covid-19 nchini mwao wamerejeshwa nyumbani

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Mfalme wa Kisiwa cha Ijwi huko Kivu Kusini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anasema Wanyarwanda zaidi ya 100 waliokuwa wamekimbia nchi yao kukwepa chanjo ya Covid-19 walirejeshwa nchini Rwanda siku ya Alhamisi.

Katika mahojiano na BBC, Mfalme Roger Ntambuka alisema wameweza kuwashawishi kurejea nyumbani, waliyokuwa wamesafiri kuanzia mwendo wa saa kumi na moja jioni, katika mashua waliyopangiwa, pamoja na wajumbe waliofuatana nao.

"Hakukuwa na sababu ya Wanyarwanda hawa kubaki hapa. Tuliweza kuwashawishi," aliongeza. Alisema raia hao walikuwa ni pamoja na watoto, wanawake na wanaume.

BBC Swahili
 
Back
Top Bottom