Wanyonge tuunganishe nguvu kumuokoa Diamond

Wanyonge tuunganishe nguvu kumuokoa Diamond

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
WanaJF sasa ni dhahiri vita ya kummaliza Diamond kisanii ni kubwa sana na peke yake hataiweza kutokana na aina ya watu wanaoiendesha,mmeshuhudia jana kilichofanyika Fiesta.Binafsi sina tatizo na Diamond mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,huyu Dogo anajitahidi,anajituma na anaiheshimu sana kazi yake kwa bahati mbaya Mungu anamuwashia

Greenlight linajitokeza kundi tena la Watanzania wenzetu bila sababu zozote za Msingi linaamua kummaliza,Diamond ni Icon ya kitaifa kimataifa hakuna faida yoyote tutakayopata kwa kumuua kisanii ila kuna faida taifa litapata kwa kumuunga mkono,Fimbo ya mnyonge ni umoja,naombeni tumsaidie huyu Bwanamdogo na nashauri Menejimenti yake iangalie mbele Promotion zifanyike TV na Radio za kimataifa zaidi kwasababu ishaonekana Local kuna hujuma.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
WanaJF sasa ni dhahiri vita ya kummaliza Diamond kisanii ni kubwa sana na peke yake hataiweza kutokana na aina ya watu wanaoiendesha,mmeshuhudia jana kilichofanyika Fiesta.Binafsi sina tatizo na Diamond mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,huyu Dogo anajitahidi,anajituma na anaiheshimu sana kazi yake kwa bahati mbaya Mungu anamuwashia Greenlight linajitokeza kundi tena la Watanzania wenzetu bila sababu zozote za Msingi linaamua kummaliza,Diamond ni Icon ya kitaifa kimataifa hakuna faida yoyote tutakayopata kwa kumuua kisanii ila kuna faida taifa litapata kwa kumuunga mkono,Fimbo ya mnyonge ni umoja,naombeni tumsaidie huyu Bwanamdogo na nashauri Menejimenti yake iangalie mbele Promotion zifanyike TV na Radio za kimataifa zaidi kwasababu ishaonekana Local kuna hujuma.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Uwe unarudia kusoma kabla ya kupost unasema.....bahati mbaya Mungu anamuwashia greenlight.... au ndio ule usemi wa "kinywa huyanena yale yaujazayo moyo?"
 
"KILA MFALME NA ZAMA ZAKE" Pia zama zina kikomo chake, akitoka huyu atakuja yule. mkuu usisikitike sana.
 
Jana kuna watu walikuwa wanamzomea, na wakawa wanaimba/ wanapaza sauti kiba kiba kiba kiba!
 
Aache Ujinga akabizi vijiti kwa wengine mda wake ushakwisha,kama yeye alifanya fitina kuwashusha watu ili naye apande basi na ndio hao hao watamshusha,aanze kuwekeza kwenye biashara maana hatutaki yamkute yaliyomkuta mr.9c.
 
I really like this dude, kwa sababu zifuatazo; ametokea uswazi,sio msomi, na ameweza kupambana kiume mpaka hapo amefikia!...hana mambo ya bangi,pombe au unga,pia amekuwa akizid kwenda mbele kila mara anapotoa nyimbo yake na sasa amepiga hatua kubwa sana kuliko wanamuziki wengi wa zamani hapa nyumbani,mtazamo wangu,Diamond anajitambua ingawaje hakosi mapungufu kwani hakuna aliyekamilika,SALUTE COMRADE DIAMOND!
 
....dharau zinamkosti hii ndio bongo yatamkuta ya Mr nice

Mkuu Salas sio dharau tu bali hata njia anazotegemea kumpaisha sio sustainable, anategemea nguvu ya mashabiki na sio nguvu ya founded quality ya mziki wake.

Anatokea mtu eti tumsaidie! My foot hiyo anayofanya yeye ni kazi kama walimu, madakitari au wale wazee wetu waliokuwa wafanyakazi wa iliyokuwa EAC waliofuatilia madai mpaka wanafia kwenye ofisi za serikali.

Pia ikumbukwe kila jambo na wakati
 
Last edited by a moderator:
Kafanyiwa nini?Au jf members wote walikwenda kwenye hyo fiesta?
 
Back
Top Bottom