Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Serikali ya wanyonge iliwaacha wanyonge na unyonge wao, serikali ya Kazi iendelee ambayo Sasa inatambulika kama ya walamba asali wanyonge Hali Tete.
Niwaambieni kitu, hakuna kiumbe kinachoteseka chini ya jua kama kinyonge. Ni uamuzi wenu kuendelea kuwa mnyonge au kujiongeza kudai Haki Yako
Kuendelea kuamini Kuna serikali ya wanyonge nikupoteza Wakati, nikujipa matumaini na kuruhusu kuendelea jutawaliwa. Fanya uamuzi sahihi Sasa chukua chako kadri unavyoweza Ili usiwe mnyonge. Ukiwa mpole ukategemea wafikiri kwa niaba Yako utuishia kusifiwa kuwa mnyonge.
Akitokea mwanasiasa akakuita mnyonge mwashe kibao, anakuandaa kisaikolojia akutawale. Hakuna kinyonge chenye haki.kuitwa mnyonge nikunyimwa haki
Niwaambieni kitu, hakuna kiumbe kinachoteseka chini ya jua kama kinyonge. Ni uamuzi wenu kuendelea kuwa mnyonge au kujiongeza kudai Haki Yako
Kuendelea kuamini Kuna serikali ya wanyonge nikupoteza Wakati, nikujipa matumaini na kuruhusu kuendelea jutawaliwa. Fanya uamuzi sahihi Sasa chukua chako kadri unavyoweza Ili usiwe mnyonge. Ukiwa mpole ukategemea wafikiri kwa niaba Yako utuishia kusifiwa kuwa mnyonge.
Akitokea mwanasiasa akakuita mnyonge mwashe kibao, anakuandaa kisaikolojia akutawale. Hakuna kinyonge chenye haki.kuitwa mnyonge nikunyimwa haki