NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Hivi huyu si ana pambano tarehe 29Bondia Daniel Wanyonyi kutoka Kenya [emoji1139] amefanikiwa kulipa Kisasi Kwa kumtwanga Bondia Karim Mandonga kutoka Tanzania katika pambano lao lilifanyika Usiku wa Kuamkia leo jijini Nairobi [emoji1139]
Maoni yangu huyu jamaa ipo siku atakuja kufia ulingoni huku mashabiki zake wakikenua meno kwa kucheka anachokifanya.
Kila siku unapambana kwa tunaojua huu mchezo wa ngumi siyo wa kuleta utani.
View attachment 2696759
Ndo nashangaa ...huyu anachukulia ngumi Kama ndondo cup
Tamaa tu pambano bado lipo binafsi sijawahi kuona hii!!