Wanywa kahawa tu:-Hivi kuna kahawa nzuri yenye kuchangamsha kama Nescafe Gold?

Wanywa kahawa tu:-Hivi kuna kahawa nzuri yenye kuchangamsha kama Nescafe Gold?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Wakuu sijui ni kuwa addicted tu au ndo uhalisia ulivyo mimi kahawa yangu pendwa ni Nescafe Gold huniambii kitu asee.

Kwanza huwa haina uchungu wala ladha za ajabu ajabu ladha yake imetulia Bali na hayo yote inachangamsha sana.

Vipi wewe kahawa yako pendant ni ipi?
20250306_114827.jpg
 
Kuna kahawa zile local vipo kwenye vipakti, zinapatikana Kagera au Moshi. Ni nzuri sana, ladha safi na harufu mujarabu
 
Kahawa ni kama pombe, sigara ama madawa,,,, ni adaptive kwenye mwili,,,ukishazoea ni ngumu kuacha !!!!!
 
Wakuu sijui ni kuwa addicted tu au ndo uhalisia ulivyo mimi kahawa yangu pendwa ni Nescafe Gold huniambii kitu asee.

Kwanza huwa haina uchungu wala ladha za ajabu ajabu ladha yake imetulia Bali na hayo yote inachangamsha sana.

Vipi wewe kahawa yako pendant ni ipi?View attachment 3261043
Lipia tangazo lako la biashara
 
Wakuu sijui ni kuwa addicted tu au ndo uhalisia ulivyo mimi kahawa yangu pendwa ni Nescafe Gold huniambii kitu asee.

Kwanza huwa haina uchungu wala ladha za ajabu ajabu ladha yake imetulia Bali na hayo yote inachangamsha sana.

Vipi wewe kahawa yako pendant ni ipi?View attachment 3261043
Hii ya kiwandani hainogi kama ile ya kijiweni tunayouziwa huku stendi😆
 
Back
Top Bottom