Wanywaji na walevi wakiwa kwenye harakati zao

Wanywaji na walevi wakiwa kwenye harakati zao

lwambof07

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2016
Posts
4,643
Reaction score
5,335
Hellow JF.

Wanywaji na walevi heshima nyingi ziwafikie kwa sababu hata bia ipande bei kiasi gani hawa wadau huwa hawaachi kununua na ni miongoni mwa bidhaa inayofanya vizur kuchangia pato la Taifa.

Wakiwa katika harakati zao za kupata kilaji hutokea vituko vingi sana na popote alipo mlevi lazima pachangamke.

Tupia kapicha cha mlevi akifanya yake kuwakumbusha kuwa pombe sio supu.
View attachment 2070473
download.jpg
 
Hao wajinga wanatutukania vitu vya msingi kwa uleviwao bana....
Asikuambie..[emoji1739]bana [emoji481]...tam [emoji39]bana....
 
Back
Top Bottom