lwambof07
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 4,643
- 5,335
Hellow JF.
Wanywaji na walevi heshima nyingi ziwafikie kwa sababu hata bia ipande bei kiasi gani hawa wadau huwa hawaachi kununua na ni miongoni mwa bidhaa inayofanya vizur kuchangia pato la Taifa.
Wakiwa katika harakati zao za kupata kilaji hutokea vituko vingi sana na popote alipo mlevi lazima pachangamke.
Tupia kapicha cha mlevi akifanya yake kuwakumbusha kuwa pombe sio supu.
View attachment 2070473
Wanywaji na walevi heshima nyingi ziwafikie kwa sababu hata bia ipande bei kiasi gani hawa wadau huwa hawaachi kununua na ni miongoni mwa bidhaa inayofanya vizur kuchangia pato la Taifa.
Wakiwa katika harakati zao za kupata kilaji hutokea vituko vingi sana na popote alipo mlevi lazima pachangamke.
Tupia kapicha cha mlevi akifanya yake kuwakumbusha kuwa pombe sio supu.
View attachment 2070473