Wanywaji na walevi wakiwa kwenye harakati zao

Pombe ikizidi Sana inadhalilisha aisee
 
[emoji482][emoji481]sasa kama huyu jaman hapa wahuni si utawalaumu bure watakuacha kweli kwa stail hii[emoji481][emoji482]
 
[emoji482][emoji481] leo na paska ckukuku najua mlifunga leo mtazifungulia kwa hasira jamanj tunywe kwa ustaarabu hela yako mwenyewe isiye ikakutesa hapo baadaye[emoji481][emoji482]
 
[emoji482][emoji481]hapa navuta nguvu ya kuunyanyua huu mwili leo umekuwa mzito sana[emoji481][emoji482]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…