waomba mikopo heslb 2013/2014 wote watapata kwa asilimia mia.

kwa upande wangu mm binafsi naona aliyepost ndio amesema kwamba mikopo itakuwa 100% lakin ukisoma ktk habar hakuna uthibitisho wa hicho anachokidai
 
Mwaka jana pia walitoa taarifa juu ya wale waliokosea ku apply na kuwapatia muda wa kufanya masahihisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…