Tupiamo kapicha basi mkuuHabari za humu! Nimeingia town Kampala, huku hatari mazee yaani kila unaepishana nae ni kimini tu. Huku ukimuona mtu kavaa dela anaonekana ni mtz. Kuosha macho utachoka mwenyewe. Picha nimeshindwa maana mji upo bize mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za humu! Nimeingia town Kampala, huku hatari mazee yaani kila unaepishana nae ni kimini tu. Huku ukimuona mtu kavaa dela anaonekana ni mtz. Kuosha macho utachoka mwenyewe. Picha nimeshindwa maana mji upo bize mno.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hivyo watoke hapa waende kampala kisa tu wakaoshe macho. Mmh.
Nawewe swahiba unataka kuenda nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nawewe swahiba unataka kuenda nini?
Sikuwezi swahiba. Jichange change basi ukipungukiwa niambie. [emoji12]uganda raha [emoji23]
Haya mkuu,ngoja nikichange change [emoji6]Sikuwezi swahiba. Jichange change basi ukipungukiwa niambie. [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kimini tu unadata, ukiiona yenyewe je
Mm nakuja Kampala nimefika masaka baada ya kupita mtukula chotera kalisizo nipo ktk private car!Upo maeneo gani mm nipo huku kisenyi jo
Ila usije ukalowea tu swahiba. [emoji23] [emoji23]Haya mkuu,ngoja nikichange change [emoji6]
Nimekumbuka kitu,nishaghairi,siendii[emoji1]Ila usije ukalowea tu swahiba. [emoji23] [emoji23]
Bora ata. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimekumbuka kitu,nishaghairi,siendii[emoji1]
Unamtisha sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huko usijaribu dem maana wanaume huko ni full cassava kibamia utaaibikaa
Sent using Jamii Forums mobile app