goldie ink
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 5,634
- 9,149
Bro bora umenena yaani kumuona mwanamke akivaa mini skirt anapagawa sasa akienda ufaransa, ujerumani na marekani si atachanyikiwa zaidi. [emoji1] [emoji2]Acha ushamba ww
Mkuu yaan umenichekesha sana sanaaaVipi Mkuu ile Gesti kubwa ambayo Watanzania wengi hupenda kufikia hapo Kampala mjini iitwao SAMALIEN iliyopo karibu na Uwanja wa mpira wa Nakivubo bado ipo? Wale ' Makahaba ' wa Kiganda wenye ' Misambwanda ' ya maana wanaopatikana katikati ya ilipo Benki Kuu ya Uganda na Shirika la Posta la Uganda bado wapo hadi siku hizi? Wale ' Vibaka ' waliotukuka wanaopatikana mitaa ya Wandegeya barabara ya kwenda Gayaza na Mkoa wa Luwero bado wapo hadi leo? Vipi Soko letu kubwa la ' Viwalo ' vya maana la Owino bado lipo Mkuu? Vipi daladala zao huko wanaziita ' Kamunye ' ambazo hujaza level seat bado zinaendelea na huo mtindo / utaratibu? Zile Klabu za Starehe za Ange Noir na Club Silk bado zipo na zinatamba au? Yale maeneo ya ' Ushuani ' ya Kololo, Mbuya, Muyenga, Makindye na Ntinda bado yapo vile vile ya Kishua au?
Sitoisahau Uganda niliyokuwepo Mimi kuanzia mwaka 1996 hadi mwaka 2002 na nilipoona huu ' uzi ' wako nimefurahi na nimekumbuka mengi sana ya nchi ya Uganda Mkuu. Ni nchi nzuri mno na inapendeza sana hali ambayo ukiwa huko utatamani tu undelee kuwepo huko na uliposema kuhusu Wanawake wenye ' Misambwanda / Makalio ' ya Kutukuka ama hakika hujakosea kwani Uganda ndiko nyumbani Kwao.
Hakikisha ukitoka huko uwe angalau umejua kuzungumza Kiganda / Chiganda kwani ni Lugha moja nyepesi na tamu kuiujua. Nayakumbuka sana haya maneno ya Kiganda kama....
Hapo katikati ya Benki Kuu na Shirika la Posta katika hayo Majengo mpaka leo bado nina kumbukumbu napo sana Mkuu kwani niliingizwa ' mkenge ' na Washikaji fulani hivi kwenda ' kubai ' mbunye katika Jengo lililopo kati hapo ambapo hizo Mbunye nyingi hujificha ndani humo na ukishalipia zinaibuka utadhani ' manowari ' za Kikorea unamalizana nazo katika ' Maboksi ' yaliyoandaliwa hapo kisha ' unasepa ' zako.
- Uli murunji nyo....yaani Wewe ni mzuri mno
- Nikuwagala nyo....yaani nimekupenda mno
- Toina magezi... yaani huna akili
- Njagala mana yo...yaani nataka ' mbunye ' yako
- Ugenda wa...yaani unaenda wapi
- Chikati Ugamba yo...yaani vipi sasa unasemaje
- Toina lugezigezi...yaani usiwe na Kiherehere
Siku hiyo Mwanaume niliingia kichwakichwa na ' migenye genye ' yangu huku nikiwa nimetoroka Shule usiku kwenda ' Kubai ' kumbe wakati naingia kuna ' Wambea ' fulani waliwatonya Polisi waliokuwa hapo Benki Kuu ndipo wakati ' Mwanamume ' wa Kitanzania ' nimeshasalula ' zangu kila kitu na kubaki tu na ' Suti ' yangu ya Kiumbaji tayari kuanza zoezi la Kutukuka la ' kuchomeka chomoa ' mara ghafla nikasikia Maaskari wameingia mule ndani tena na ' Silaha ' zao kabisa za moto ambapo kwakuwa walijua kuna Watu tumejificha mule ' tunabanduana ' wakatuamuru tujisalimishe wenyewe ndipo yule Demu ' niliyemubai ' alikuwa mzoefu akaniacha ' Solemba ' kwa kupenya mahala ambapo kwa wakati ule Mimi nisingeweza kupenya kwani kama ningebahatika ' Kupenya ' na kudondokea kwa kule chini huenda siku hiyo Uganda nzima wangetangaziwa kuwa kuna ' mchawi ' kutoka Tanzania ' kadondoka ' akiwa ' uchi / mtupu ' hivyo nikauchuna.
Wakati nimeuchuna wale Maaskari Polisi wakatangaza tena kwamba tutoke mule haraka la sivyo watapiga ' risasi ' ndipo Mwanaume wa Kitanzania nikaona isiwe taabu sitaki nirudi Dar es Salaam nikiwa ' Sandukuni ' hivyo taratibu nikaibuka lakini Suruali nikiwa nimeshavaa ila Shati langu begani ambapo walinigombania utadhani wamemkamata Osama Bin Laden.
Kosa moja walilolifanya wale Askari Polisi wa Kiganda ambalo lilinisaidia sana Mimi ni kukubali kwa ghafla ' uwongo ' wangu niliowapa kwani wakati wamenikamata pale na nakumbuka walikuwa Askari Polisi kama wanane hivi niliwadanganya kuwa Mimi sikuwa Mwanafunzi bali nilikuwa ni Mtoto wa Afisa wa Ubalozi wa Tanzania pale nchini Uganda ( na nakumbuka kipindi hicho Balozi alikuwepo Mzee Tambwe na naibu wake Marehemu Mzee Mufungo Silas Mujaya R.I.P ) ambapo niliweza kuwasoma Kitabia haraka mno wale Maaskari wa Kiganda na kugundua kuwa walikuwa wana njaa ( yaani hawajala ) na pia wanapenda sana rushwa.
Hivyo nikawaambia kuwa Mimi natoka Ubalozini na nina Hela za ' Kumwaga ' tu wakati ukweli ni kwamba nilikuwa na nauli ya kunirudisha tu Shuleni usiku wa manane nikishamaliza kufanya ' Upuuzi / Upupu ' wangu. Nikawaambia kuwa kwakuwa wako nane basi naomba waniamini nikimbie Ubalozini ambapo nitarudi pale na ' mzigo / hela ' au kama vipi wanipe Askari mmoja niende nae ili awaletee Hela hiyo ndipo nilipowajengea imani kuwa kweli Mimi ni Mtu mwema na sina matatizo.
Sasa wakati wananiuliza Ubalozini ni wapi Mimi kwa ' utundu / ujanja ' wangu nikawaonyesha Jengo moja lililopo jirani na Ukumbi wa Bunge la Uganda ambako halikuwa mbali na waliponikamatia ndipo wakaniruhusu nikimbie nikawaletee Pesa nilizowaahidi ambapo mwanzoni nilitembea ' Kiuaminifu ' kabisa ili wajue kuwa wameniweza ' Popoma / Pumbavu ' Mimi kumbe wakawa wamesahau kuwa Mimi ni Mtanzania niliyetokea katika nchi ya Nyerere na yenye Watu ' wajanja ' hakuna mfano duniani kama hata siyo Mbinguni.
Wakati nikiwa natiririka na naserereka zangu mitaa ile ya Kampala huku nikawa kila mara nageuka nyuma nawatizama wale Mapolisi wa Kiganda na nilipofika eneo moja ambapo kulikuwa na ' mteremko ' nilitoka ' baru / mbio ' hadi karibia na Kituo cha Mabasi pale mjini na kwa bahati nzuri ndiyo nikakuta basi la mwisho linapakia kwenda mitaa ya Shuleni Kwetu ' Mwanamume ' nikalipanda na safari ikaanza na nakumbuka wakati tunaondoka hilo basi lilipita njia ile ile niliyowaacha wale Mapolisi wa Uganda wakinisubiri niwaletee Pesa yao niliyowaahidi hali ambayo ilinifanya kila mara nisali kwa Mungu lile basi lisipate ' break down ' ya aina yoyote karibu yao au lisipigwe mkono na bahati nzuri sana Mungu wa Kitanzania alisikia ' Kilio ' changu na tukawapita pale pale hadi nilipofika Shuleni salama ' nikapenya ' katika ' uzio ' wetu na kuingia ndani Shuleni.
Tokea nipatwe na hilo tukio hata mchezo wenyewe wa ' Kubai ' Mbunye nao ukaishia pale pale. Ni tukio ambalo kila nikiikumbuka nchi ya Uganda lazima nilikumbuke halafu nabaki na maswali mengi sana Kichwani kwamba hivi siku ile wale Maaskari wangekuwa ' bandidu / wabishi ' Kwangu ningewaeleza nini Wazazi au kule Shuleni ingekuwaje. Ndiyo maana kila siku siachi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa akili, mbinu, ujuzi, mikakati na ujanja hasa ya Kimaisha.
Shikamoo Uganda!
Lwaki tolina màzi, tolya mele?Hahahhaah duh! Silina mazi
Ndizi mkuu ndo sababu! Watoto wazuri sana.Madem wa Kiganda tatizo ukigegeda lazima mlowanishe Kitanda kwa water sijui wanakula nn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana! Picha noma maana huko dressing code yao haiendani na jamii yetu ya tz. Kajionee mwenyewe!Huna maana kabisa mtoa mada...
Yani unatufanya tuanze jenga picha kichwani bhaanaa...
Mzungu hana ladha, akikaa na pichu hata ustuki. Achana na kitu Africa wewe!Bro bora umenena yaani kumuona mwanamke akivaa mini skirt anapagawa sasa akienda ufaransa, ujerumani na marekani si atachanyikiwa zaidi. [emoji1] [emoji2]
Matoke na ngogwe!Madem wa Kiganda tatizo ukigegeda lazima mlowanishe Kitanda kwa water sijui wanakula nn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakimbia inatisha sana mkuu kwa kuiona live.Kimini tu unadata, ukiiona yenyewe je
Ile vuuuuuu pwaaaaaaaaa......... Tanga hii hapa...
Awakilishe taifa sio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtafute mmoja umpime kiwango cha oil alichonacho........wakilisha vizuri taifa