Wapachikwa mimba na mchungaji

duu hii nayo Kali,hv hao wamama hawajaona haya kabisaa kuvua hizo nguo.....mbona wachungaji timing zao ni wanawake na pesa tu hasa wachungaji wanaume...mbona sijasikia vihoja hivyo kwa wachungaji wa kike?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mchungaji alikua anabusu ile kitu namesa mwensake
 
Hahah dah kanisani mapenz tuu kusali ni ww mwenyew na nafs yako some time wachungaji mizinguo tuu doh hiyo kalii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…