N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 7,427
- 10,905
Hawa jamaa ukiwakuta Mwenge wanavofanya masaji miguu ya wadada, dah moyo unadunda the fastest, maana wanafunua hadi mapajani karibu na 18 yaani dah, sina jinsi ningeweza ningemkataza wife but ndio haiwezekani haya basi sawa wacha iwe hivo dah!.