sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 722
- 885
Hakuna kazi isiyo na Allowance hata kama ina mshahara mdogo😅Habari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu, Katika story za hapa na pale na wanawake wenzangu weekend tukiwa tumejitoa kidogo kufurahia maisha.
Mmoja wa wenzetu akasema akiwa ofisini mwenzao aliwaambia kuwa usione wanawake wengi wanapenda kupaka rangi kwa wapaka kucha kuna utamu.
Anasema akauliza utamu gani huo. Yani anadai wakati wa kupaka rangi kwanza kuna kusuguliwa miguu. Baada ya hapo unaoshwa na kupaka mafuta kwa kupapaswa papaswa taratibu. Akaendelea mbali zaidi kuwa wapaka rangi hao wanaitumia mikono yao kuwapaka mafuta wanapaka mpaka kwenye mapaja.
Akasema hapo kwenye mafuta ndio utamu unapoanzia unawafanya kujisikia raha. Anadai wanawake wengine huishia kutoka na hao wapaka rangi kwakuwa wanakuwa wamewaamsha hisia zao.
Mi nikaishia kucheka. Nikasema sasa wengine si wake za watu. Basi chakula kikaja pale tukaendelea kula.
Nimalize tu... Kuna siri nzito kwa wapaka rangi kucha.
View attachment 2245420
Picha: Kutoka makataba
Very correct.Watu wengi na ndoa nyingi za siku hizi watu wanakuwa hawajuani in-deep.
Sasa mkiwa pamoja kila mtu anaanza kumjua heee kumbe Chukwu emeka ndiyo yupo hivi
au kuna vitu hukuwa unamkataza mwenzio wakati mko pamoja Kwa hofu ya kuachwa,ukioa ndiyo unaanza kuleta sheria,hapo lazima mpigane tu risasi
Hii comment yako, wewe ushapitiwa na rungu lao au uko mbioni kutaka rungu lipite kwakoHao nasikia ni hatare...
Akimkamata mwanamke...
Anaweka na uchawise...
Kuna gym pia.. huko nako hatariHabari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu, Katika story za hapa na pale na wanawake wenzangu weekend tukiwa tumejitoa kidogo kufurahia maisha.
Mmoja wa wenzetu akasema akiwa ofisini mwenzao aliwaambia kuwa usione wanawake wengi wanapenda kupaka rangi kwa wapaka kucha kuna utamu.
Anasema akauliza utamu gani huo. Yani anadai wakati wa kupaka rangi kwanza kuna kusuguliwa miguu. Baada ya hapo unaoshwa na kupaka mafuta kwa kupapaswa papaswa taratibu. Akaendelea mbali zaidi kuwa wapaka rangi hao wanaitumia mikono yao kuwapaka mafuta wanapaka mpaka kwenye mapaja.
Akasema hapo kwenye mafuta ndio utamu unapoanzia unawafanya kujisikia raha. Anadai wanawake wengine huishia kutoka na hao wapaka rangi kwakuwa wanakuwa wamewaamsha hisia zao.
Mi nikaishia kucheka. Nikasema sasa wengine si wake za watu. Basi chakula kikaja pale tukaendelea kula.
Nimalize tu... Kuna siri nzito kwa wapaka rangi kucha.
View attachment 2245420
Picha: Kutoka makataba
Achana na hiyo, humu jukwaani hua kuna mada wanaume wanaingiza mwanamke geto halafu ety mpaka waanze kushikana ndio jamaa asimamishe. Mimi kitendo cha demu kukubali kuja geto tuu tayari nmeshasimamisha, hawa wenzetu cjui wana matatizo gani.Kwa hii kazi bora nikabebe zege, kwa mimi kitendo cha cha kuchika tu mguu wa mwanamke mguu wangu wa tatu lazima usimame.
Ndio maana tunaambiwa hatuna nguvu za kiume, mtoto wa kiume uliekamilika unashika miguu ya wanawake kutwa nzima na uko poa tu! Hapana kabisa .
Naunga mkono hojaBinafsi bora kuonekana tu ni muhafidhina, ila ni marufuku kubwa Kwa mke wangu kufanya huo upuuzi na anajua......
Ina maana kucha zipo hadi kwenye mapaja? Kazi yao ni kupaka rangi kucha sasa kwenye mapaja wanatafuta nini? 🤔Habari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu, Katika story za hapa na pale na wanawake wenzangu weekend tukiwa tumejitoa kidogo kufurahia maisha.
Mmoja wa wenzetu akasema akiwa ofisini mwenzao aliwaambia kuwa usione wanawake wengi wanapenda kupaka rangi kwa wapaka kucha kuna utamu.
Anasema akauliza utamu gani huo. Yani anadai wakati wa kupaka rangi kwanza kuna kusuguliwa miguu. Baada ya hapo unaoshwa na kupaka mafuta kwa kupapaswa papaswa taratibu. Akaendelea mbali zaidi kuwa wapaka rangi hao wanaitumia mikono yao kuwapaka mafuta wanapaka mpaka kwenye mapaja.
Akasema hapo kwenye mafuta ndio utamu unapoanzia unawafanya kujisikia raha. Anadai wanawake wengine huishia kutoka na hao wapaka rangi kwakuwa wanakuwa wamewaamsha hisia zao.
Mi nikaishia kucheka. Nikasema sasa wengine si wake za watu. Basi chakula kikaja pale tukaendelea kula.
Nimalize tu... Kuna siri nzito kwa wapaka rangi kucha.
Picha: Kutoka makataba
Ni shaba tu za kisogoHabari wakuu,
Husika na kichwa hapo juu, Katika story za hapa na pale na wanawake wenzangu weekend tukiwa tumejitoa kidogo kufurahia maisha.
Mmoja wa wenzetu akasema akiwa ofisini mwenzao aliwaambia kuwa usione wanawake wengi wanapenda kupaka rangi kwa wapaka kucha kuna utamu.
Anasema akauliza utamu gani huo. Yani anadai wakati wa kupaka rangi kwanza kuna kusuguliwa miguu. Baada ya hapo unaoshwa na kupaka mafuta kwa kupapaswa papaswa taratibu. Akaendelea mbali zaidi kuwa wapaka rangi hao wanaitumia mikono yao kuwapaka mafuta wanapaka mpaka kwenye mapaja.
Akasema hapo kwenye mafuta ndio utamu unapoanzia unawafanya kujisikia raha. Anadai wanawake wengine huishia kutoka na hao wapaka rangi kwakuwa wanakuwa wamewaamsha hisia zao.
Mi nikaishia kucheka. Nikasema sasa wengine si wake za watu. Basi chakula kikaja pale tukaendelea kula.
Nimalize tu... Kuna siri nzito kwa wapaka rangi kucha.
View attachment 2245420
Picha: Kutoka makataba
Inawezekana... maana kushikwa shikwa vile hatari...Yani wanamegwa kimasihara[emoji1787]
Umeongea ukweli kabisa...ukisha guu la mwanamke lazima udindeKwa hii kazi bora nikabebe zege, kwa mimi kitendo cha kuchika tu mguu wa mwanamke mguu wangu wa tatu lazima usimame.
Ndio maana tunaambiwa hatuna nguvu za kiume, mtoto wa kiume uliekamilika unashika miguu ya wanawake kutwa nzima na uko poa tu! Hapana kabisa .
Kweli kabisa. Halafu walivyo wehu anaachia paja kidogo uone chupi ili upungunze bei au asitoe kabisa hela.Umeongea ukweli kabisa...ukisha guu la mwanamke lazima udinde
Mie ndio napeleka mkono mpaka kwenye mtumo wa mbususu nicheze na vuzi🤣🤣🤣🤣.Kweli kabisa. Halafu walivyo wehu anaachia paja kidogo uone chupi ili upungunze bei au asitoe kabisa hela.
Kwani hiyo elimuyake ndo inapakwa rangi ama ni mapaja yake?Unaweza kuta mdada ana masters degree ya nuclear science lkn akienda kwa hao jamaa ana sandaa ata shikwa mipajaaa