Wapalestina kuhamishiwa a.mashariki-Trump plans!

Wapalestina kuhamishiwa a.mashariki-Trump plans!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
according to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.

gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
 
according to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.

gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
Weka basi hata source hapa tuione!! Otherwise itakuwa porojo
 
Ohoo! wasiwelete huku wanaweza kusema Zanzibar ni yao!
 
according to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.

gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
Wewe umesikia wapi?
 
according to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.

gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
Wanajidanganya. Washasahau mababu zake Trump walikua watumwa?.yaani USA walikua watumwa
 
Wakija muda si mrefu watatuuzia ngano, matunda aina yote, Michele, unga, maji ya kunywa, nyama, ndege, nguo mpaka magari, wataalamu n.k.
Wakiwa katikati ya vita kule kwao, Bado juzi nimeona madaktari bingwa kutoka Palestine wakiwa wameungana na madaktari wengine bingwa kutoka Italy wakiwa muhimbili wakitoa mafunzo flani.....nikashangaa.

Hata hivyo hilo kamwe hawawezi kulikubali....hata waisrael nasikia walitakiwa wapelekwe Uganda wakakataa. Sijui Kuna nn afrika Huku, mbona wanakukimbia?!!!! Au ndo kutakakokuwa na jehanam nini'?!!!!
 
Wapelekwe goma wakutane na m23
Wapalestina hawana ugomvi na yeyote yule zaidi ya Muisrael, na Muisrael hivyohivyo.....utashangaa wengine wanaishi nao poa kabisa. Hata hivyo, hako kam23 Kako hawawezi kamwe wakauweza moto wa Wapalestina wanaopigana tangu wakiwa tumboni. Shida tu ni kwamba watakuwa wanapigania nini'?!!! Huku siko walikolala mababu zao
 
according to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.

gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
Napendekeza waje tz , kuliko wauzi rasimali zetu bora waje tubadishianene dam mbwai mbwai
 
Back
Top Bottom