Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka basi hata source hapa tuione!! Otherwise itakuwa porojoaccording to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.
gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
Unazingua kamanda watu wanalinda nchi Yao unawaita magaidiMagaidi wanapelekwa kwenye ardhi ya magaidi wenzao
Wewe umesikia wapi?according to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.
gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
Wanajidanganya. Washasahau mababu zake Trump walikua watumwa?.yaani USA walikua watumwaaccording to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.
gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …
Wapalestina hawana ugomvi na yeyote yule zaidi ya Muisrael, na Muisrael hivyohivyo.....utashangaa wengine wanaishi nao poa kabisa. Hata hivyo, hako kam23 Kako hawawezi kamwe wakauweza moto wa Wapalestina wanaopigana tangu wakiwa tumboni. Shida tu ni kwamba watakuwa wanapigania nini'?!!! Huku siko walikolala mababu zaoWapelekwe goma wakutane na m23
Napendekeza waje tz , kuliko wauzi rasimali zetu bora waje tubadishianene dam mbwai mbwaiaccording to AP, D.Trump na Israeli wana mpango wa ku clear gaza na kuwahamishia wapalestina somalia, somali land na sudan.
gaza kugeuzwa kuwa “riviela of the middle east” …