Wapalestina waanza kuchapana wao kwa wao

Wapalestina waanza kuchapana wao kwa wao

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Kwa Sasa yamezuka mapigano ndani ya West Bank kati ya Jeshi la Mamlaka ya Palestina na wapiganaji wa Jenin Fighters. Mapigano hayo ya azidi kushika kasi Sana. Nilishasema Tangu Hamas na Fatah wapigane kule Gaza na Hamas kushinda na kulichukua eneo la Gaza , hata Palestina walipewa uhuru wao wanaoutaka na Israel bado watapigana tu wao kwa wao maana hawaelewani. Ngoja tuone haya mapigano yataishia wapi.
 
Waarabu wameumbwa kuuana tu. Na sisi huku kwetu tuwe makini, hawa watu wenye uarabu, kwao uhai hauna thamani. Hawa watu siyo wa kuwa nao wengi kwenye nchi. Wakiwa wengi tu, utegemee mauaji kila mara, huku wakiyaunganisha mauaji hayo na Allah. Mtu anamkata shingo mwenzaje huku akimtaja Allah!! Mtu akikutia uwendawazimu kuoitia imani ta kidini, amekumaliza kabisa. Ni kama yule mchungaji wa Kenya, aliyewaharibu akili waumini wake, kisha wakawa wanajiua kwa njaa. Na hapa kwetu tuombee hawa maelfu ya waumini wa Mwamposya, asiwatie uwendawazimu wa kujiua au kuwaua wengine, abakie hapo hapo pa kuwakomba pesa zao.
 
Kwa Sasa yamezuka mapigano ndani ya West Bank kati ya Jeshi la Mamlaka ya Palestina na wapiganaji wa Jenin Fighters. Mapigano hayo ya azidi kushika kasi Sana. Nilishasema Tangu Hamas na Fatah wapigane kule Gaza na Hamas kushinda na kulichukua eneo la Gaza , hata Palestina walipewa uhuru wao wanaoutaka na Israel bado watapigana tu wao kwa wao maana hawaelewani. Ngoja tuone haya mapigano yataishia wapi.
Kama chadema?
 
Kwa Sasa yamezuka mapigano ndani ya West Bank kati ya Jeshi la Mamlaka ya Palestina na wapiganaji wa Jenin Fighters. Mapigano hayo ya azidi kushika kasi Sana. Nilishasema Tangu Hamas na Fatah wapigane kule Gaza na Hamas kushinda na kulichukua eneo la Gaza , hata Palestina walipewa uhuru wao wanaoutaka na Israel bado watapigana tu wao kwa wao maana hawaelewani. Ngoja tuone haya mapigano yataishia wapi.
Huna chanzo chochote unaropoka tu asubuh au uliamkia yale mambo yako leo
 
Nafikiri ugomvi wao mkubwa ni kutofautiana kimawazo juu ya masuala yao dhidi ya Israel.

Kuna wapalestina wanaoamini katika mapigano/kupigana ili kupata haki yao dhidi ya Israeli na kuna wanaoamini kwenye mazungumzo ili kupata haki yao dhidi ya Israeli.
Kimsingi Palestina hawawezi kupata haki zao dhidi ya Israeli kwenye meza ya mazungumzo.

Ni kama kuamini eti utaitoa CCM madarakani kupitia box la kura au uchaguzi, au kufikilia eti kuna siku CCM itaachia madaraka kwa hiari.
Museveni alishawaambia waganda aliipata nchi msituni, anayeitaka naye aende msituni, halafu unakaa na kujadili Museveni au unapambana kwenye uchaguzi.
 
Nafikiri ugomvi wao mkubwa ni kutofautiana kimawazo juu ya masuala yao dhidi ya Israel.

Kuna wapalestina wanaoamini katika mapigano/kupigana ili kupata haki yao dhidi ya Israeli na kuna wanaoamini kwenye mazungumzo ili kupata haki yao dhidi ya Israeli.
Kimsingi Palestina hawawezi kupata haki zao dhidi ya Israeli kwenye meza ya mazungumzo.

Ni kama kuamini eti utaitoa CCM madarakani kupitia box la kura au uchaguzi, au kufikilia eti kuna siku CCM itaachia madaraka kwa hiari.
Museveni alishawaambia waganda aliipata nchi msituni, anayeitaka naye aende msituni, halafu unakaa na kujadili Museveni au unapambana kwenye uchaguzi.
umesema ukweli ambao hata wapinzani wanaujua ila wanajizima data na kututumia sisi raia ili wajipatie ruzuku ila kiukweli wapinzani hawana nia ya uraisi tz huwez kupata urais kirahisi
 
Nafikiri ugomvi wao mkubwa ni kutofautiana kimawazo juu ya masuala yao dhidi ya Israel.

Kuna wapalestina wanaoamini katika mapigano/kupigana ili kupata haki yao dhidi ya Israeli na kuna wanaoamini kwenye mazungumzo ili kupata haki yao dhidi ya Israeli.
Kimsingi Palestina hawawezi kupata haki zao dhidi ya Israeli kwenye meza ya mazungumzo.

Ni kama kuamini eti utaitoa CCM madarakani kupitia box la kura au uchaguzi, au kufikilia eti kuna siku CCM itaachia madaraka kwa hiari.
Museveni alishawaambia waganda aliipata nchi msituni, anayeitaka naye aende msituni, halafu unakaa na kujadili Museveni au unapambana kwenye uchaguzi.
Bro kwenye meza ya mazungumzo ingewezekana 20 years ago kipindi cha Arrafat. Tatizo ndio kipindi Hamas wakaanza kushika hatam. Kumbuka Arrafat hakuwa Hamas

Toka enzi na enzi Wasingejiweka kwenye position ya kuonekana kuwa threat.. ukisoma hiatoria ya hilo eneo na hao wapalestina utaona kwa ni kwa nini jordan iliwezekana kuishi na jews na kwa palestina isiwezekane

Wakibadili Mtazamo wa kutaka Israel ifutike kwenyw uso wa dunia the. La diplomasia linawezekana

Bahat mbaya Israel hataamini tena kwenye diplomasia ndo maana nyeta alisema Kuwepo na nchi ya palestina ni hukumu ya kifo kwa taifa la jews
 
Back
Top Bottom