Wapambanaji: Kama unataka kufungua duka dogo la kuuza accessories & huduma ndogo ndogo zinazohusu magari pitia hapa!

Wapambanaji: Kama unataka kufungua duka dogo la kuuza accessories & huduma ndogo ndogo zinazohusu magari pitia hapa!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu.

Kutegemea na muda wako na location uliopo, unaweza kufungua duka dogo ukawa unauza accessories ndogo ndogo za gari na kutoa huduma ndogo ndogo pia.

Ukitoa gharama za fremu, kwa mtaji wa chini ya Million 2 unaweza kuanza na hii biashara.

Tunaweza kudiscuss vitu ambavyo unaweza kuanza kuuza, tukaambiana vipi vinatrend au vipi sio deal.

Nashauri tuweke katika magroup mawili, (1) Accessories na (2) Service/Huduma.

1. Accessories

Accessories za Urembo
  • Key holders
  • Stendi na holder za simu
  • Chaja na FM tunners & MP3 players (za kuweka kwenye lighter)
  • Carpets
  • Perfumes / marashi & purifers
  • Vimulimuli & taa za urembo
  • Polish ya seat na dashboard.
  • Polish ya body

Accessories zenye Matumizi/Muhimu
  • Fire Extinguisher
  • Triangles
  • Universal Android Infotainment (ila hizi bei kali tuziache kwa sasa)
  • Coolants.
  • Wipers
2. Kutoa Huduma ndogo ndogo (Service)
  • Kuweka tinted
  • Kusafisha taa
  • Kufanya waxing (hii itaendana na ukiwa na car wash so tuiweke ya baadae)
  • Kujaza upepo (hii nayo inataka compressor kidogo bei kali)

Hapa mchawi ni kujua machaka ya hivyo vitu kwa Kariakoo unakoweza kupata kwa jumla, na kama unaweza kumpata kijana wa kukaa dukani.

As business inakua, unaweza ukaendelea na huduma kubwa kama kuchonga funguo, wheel alignment nk.

Ushauri wowote?

Mimi nitajaribu kuanzia 2025 January mambo yakikaa fresh.
 
Mtaji wake budget iwe kwenye shingapi kwa kuanzia? Million 10 inatosha?
Kwa research ndogo niliofanya, mil 10 kubwa sana.

Ukitoa gharama za fremu, decoration ya fremu, TRA, manispaa na mazaga mengine, gharama za mzigo wa kuanzia ni ndogo unless uongeze huduma kubwa kama kujaza upepo na kuosha magari.
 
Kwa research ndogo niliofanya, mil 10 kubwa sana.

Ukitoa gharama za fremu, decoration ya fremu, TRA, manispaa na mazaga mengine, gharama za mzigo wa kuanzia ni ndogo unless uongeze huduma kubwa kama kujaza upepo na kuosha magari.
Na Kuosha magari million 10 haitoshi kama unataka kufanya kisasa unatakiwa uwe na kisima maji yawe uhakika
 
Na Kuosha magari million 10 haitoshi kama unataka kufanya kisasa unatakiwa uwe na kisima maji yawe uhakika
Kisima eneo la kukodi? Tutatumia masimtank tu mfano ukawa na la 5000Lts.
 
Kwa research ndogo niliofanya, mil 10 kubwa sana.

Ukitoa gharama za fremu, decoration ya fremu, TRA, manispaa na mazaga mengine, gharama za mzigo wa kuanzia ni ndogo unless uongeze huduma kubwa kama kujaza upepo na kuosha magari.
Kitu cha Kwanza kwenye biashara ni management ( usimamizi wa Hali ya juu). hapa ndipo kwenye mzizi wenyewe maana kumbuka huyo muuzaji utakayemkabidhi Duka na yeye anataka kufanikisha maisha yake kupitia biashara yako.
Shopkeeper wengi huwa na wao wanauza bidhaa zao kupitia Duka lako hilohilo anachofanya anaangalia zile products Ambazo kilasiku zinauzika na yeye anatumia chance hiyo kuuza Kwanza items zake

Ukifungua goli omba MUNGU umpate kijana Sahihi wa kumwachia Duka vinginevyo ni majanga Tu ataambulia
 
Kitu cha Kwanza kwenye biashara ni management ( usimamizi wa Hali ya juu). hapa ndipo kwenye mzizi wenyewe maana kumbuka huyo muuzaji utakayemkabidhi Duka na yeye anataka kufanikisha maisha yake kupitia biashara yako.
Shopkeeper wengi huwa na wao wanauza bidhaa zao kupitia Duka lako hilohilo anachofanya anaangalia zile products Ambazo kilasiku zinauzika na yeye anatumia chance hiyo kuuza Kwanza items zake

Ukifungua goli omba MUNGU umpate kijana Sahihi wa kumwachia Duka vinginevyo ni majanga Tu ataambulia
Ili neno aisee. Hapa ndio kunakupigwa
 
Wakuu.

Kutegemea na muda wako na location uliopo, unaweza kufungua duka dogo ukawa unauza accessories ndogo ndogo za gari na kutoa huduma ndogo ndogo pia.

Ukitoa gharama za fremu, kwa mtaji wa chini ya Million 2 unaweza kuanza na hii biashara.

Tunaweza kudiscuss vitu ambavyo unaweza kuanza kuuza, tukaambiana vipi vinatrend au vipi sio deal.

Nashauri tuweke katika magroup mawili, (1) Accessories na (2) Service/Huduma.

1. Accessories

Accessories za Urembo
  • Key holders
  • Stendi na holder za simu
  • Chaja na FM tunners & MP3 players (za kuweka kwenye lighter)
  • Carpets
  • Perfumes / marashi & purifers
  • Vimulimuli & taa za urembo
  • Polish ya seat na dashboard.
  • Polish ya body

Accessories zenye Matumizi/Muhimu
  • Fire Extinguisher
  • Triangles
  • Universal Android Infotainment (ila hizi bei kali tuziache kwa sasa)
  • Coolants.
  • Wipers
2. Kutoa Huduma ndogo ndogo (Service)
  • Kuweka tinted
  • Kusafisha taa
  • Kufanya waxing (hii itaendana na ukiwa na car wash so tuiweke ya baadae)
  • Kujaza upepo (hii nayo inataka compressor kidogo bei kali)

Hapa mchawi ni kujua machaka ya hivyo vitu kwa Kariakoo unakoweza kupata kwa jumla, na kama unaweza kumpata kijana wa kukaa dukani.

As business inakua, unaweza ukaendelea na huduma kubwa kama kuchonga funguo, wheel alignment nk.

Ushauri wowote?

Mimi nitajaribu kuanzia 2025 January mambo yakikaa fresh.
Naweza kupata mawasiliano yako Kaka pm coz na Mimi nataka nianze iyo biashara mwakan
 
Back
Top Bottom