Wapandishwa kizimbani kwa kufungua simu zilizofungwa na TCRA

Wapandishwa kizimbani kwa kufungua simu zilizofungwa na TCRA

Luqman mohamedy

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
899
Reaction score
1,231
Watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujihusisha na kufungua simu zilizofungwa na TCRA ili kubadili uhalisia wa IMEI namba.

Wakisomewa mashtaka hayo na wakili wa serikali Esther Martin mbele ya Hakimu mkazi mwandamizi Augustina Mbando watu hao Abdul Nassor na Said Msangi ambao ni mafundi simu kariakoo Dar es Salaam wanadaiwa februari 27 mwaka huu walibadili namba tambulishi ya simu aina ya Tekno.

Wawili hao pia wanadaiwa kubadili namba za simu tambulishi maarufu IMEI.

Chanzo: Azam Tv

-----

MAWAZO YANGU:
Hawa vijana tungewapeleka kwenye vyuo vya ufundi wawaongezee ujuzi vijana wetu walio mafunzoni

TCRA iwatumie kujua huo utaalamu,hawa ni hazina haina haja ya kuwafunga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaalamu wakununua code online au upi huo utakaokua chachu kwa wanafunzi? maana hapo hakuna ubunifu zaidi ni uhalifu... na tena hawafai kutumika ushaurivyo kwasababu wameweza kushikwa, ilitakiwa wasijulikane kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi za wenzetu, hackers wanapewa fursa (man testers) lakini kwetu tunawafunga. Ukimchukua mtu mwenye ujuzi wa kudanganya mfumo fulani ni rahisi kujuawapi kuna udhaifu kwenye mfumo wako na a maboresho.
 
88433616_1626608757505359_604663779606659072_n-390x220.jpg

Watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujihusisha na kufungua Simu zilizofungwa na TCRA ili kubadili uhalisia wa IMEI namba.

Wakisomewa mashtaka hayo na wakili wa serikali Esther Martin mbele ya Hakimu mkazi mwandamizi Augustina Mbando watu hao Abdul Nassor na Said Msangi ambao ni mafundi simu Kariakoo Dar es Salaam wanadaiwa Februari 27 mwaka huu walibadili namba tambulishi ya Simu aina ya Tekno.

89702468_1626608764172025_2880035417489408000_n.jpg


Wawili hao pia wanadaiwa kubadili namba za simu tambulishi maarufu IMEI. Ikumbukwe kuwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilifungia simu zote bandia au ambazo hazikufikia viwango vinavyo takiwa kutumika hapa nchini.

Source Azam Tv
 
tatizo la nchi yetu ubabaishaji mwingi !

kama simu zilifungiwa miaka hio leo ndio zinakuja kufunguliwa sasa hv ?

mbona hawakuwakamata miaka hio wanafungia simu fake ?
 
Hilo ni kosa la jinai kwa kuingilia kazi ya TCRA. Ni sawa na wale wanojifanya ni wajiriwa wa TRA, TCRA, PCCB nk wakati sio.
 
Binafsi yangu, ukiniiibia simu yangu. Basi, kitakachokusaidia ni Spare zake tu. Kwani nimeweka Anti theft software za ukweli.
Kwanza hutaweza kuiwasha kabisa.

Sent using [Iphone XS Max]
 
Nchi za wenzetu, hackers wanapewa fursa (man testers) lakini kwetu tunawafunga. Ukimchukua mtu mwenye ujuzi wa kudanganya mfumo fulani ni rahisi kujuawapi kuna udhaifu kwenye mfumo wako na a maboresho.
....na anakuwa anajua na anakusaidia kukamata ma hackers wengine.
Sisi huwa hatuna utamaduni wa kuona fursa ya kosa fulani!...ni funga, funga, funga tu![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi yangu, ukiniiibia simu yangu. Basi, kitakachokusaidia ni Spare zake tu. Kwani nimeweka Anti theft software za ukweli.
Kwanza hutaweza kuiwasha kabisa.

Sent using [Iphone XS Max]
Iphone si walishakuwekea kila kitu? Au unaongelea nywila
 
Watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujihusisha na kufungua simu zilizofungwa na TCRA ili kubadili uhalisia wa IMEI namba.

Wakisomewa mashtaka hayo na wakili wa serikali Esther Martin mbele ya Hakimu mkazi mwandamizi Augustina Mbando watu hao Abdul Nassor na Said Msangi ambao ni mafundi simu kariakoo Dar es Salaam wanadaiwa februari 27 mwaka huu walibadili namba tambulishi ya simu aina ya Tekno.

Wawili hao pia wanadaiwa kubadili namba za simu tambulishi maarufu IMEI.

Chanzo: Azam Tv

-----

MAWAZO YANGU:
Hawa vijana tungewapeleka kwenye vyuo vya ufundi wawaongezee ujuzi vijana wetu walio mafunzoni

TCRA iwatumie kujua huo utaalamu,hawa ni hazina haina haja ya kuwafunga.

Sent using Jamii Forums mobile app
UK kubadilisha imei ni jela miaka 5! Nyuma ya simu kuna original Imei ya simu, ukiirudishia hii aina tatizo, Tatizo ni pale unapoweka imei nyingine
 
Labda kama ni iphone latest version, Ila hizi nyingine umejisumbua tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Utaalam umezidi kukua siku hizi ukiiba simu ya mtu anaweza kuwipe each and everything. Ni kuelewa mambo ya encryption tu.

ˡ ˡⁱᵏᵉ ᵇⁱᵍ⁻ᵗⁱᵗᵗʸ ʷᵒᵐᵃⁿ [emoji377]
 
Nchi za wenzetu, hackers wanapewa fursa (man testers) lakini kwetu tunawafunga. Ukimchukua mtu mwenye ujuzi wa kudanganya mfumo fulani ni rahisi kujuawapi kuna udhaifu kwenye mfumo wako na a maboresho.
Inchi gani inayo kupa fursa kwa kuvunja Sheria au unajisemea tu mtu kavunja Sheria anabadili IMEI anafikishwa vyombo vya Sheria unailaumu serikali duh acha ukilaza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo maana vishandu wanaendelea kupora sjmu kuna udhaufu Tcra
 
88433616_1626608757505359_604663779606659072_n-390x220.jpg

Watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujihusisha na kufungua Simu zilizofungwa na TCRA ili kubadili uhalisia wa IMEI namba.

Wakisomewa mashtaka hayo na wakili wa serikali Esther Martin mbele ya Hakimu mkazi mwandamizi Augustina Mbando watu hao Abdul Nassor na Said Msangi ambao ni mafundi simu Kariakoo Dar es Salaam wanadaiwa Februari 27 mwaka huu walibadili namba tambulishi ya Simu aina ya Tekno.

89702468_1626608764172025_2880035417489408000_n.jpg


Wawili hao pia wanadaiwa kubadili namba za simu tambulishi maarufu IMEI. Ikumbukwe kuwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilifungia simu zote bandia au ambazo hazikufikia viwango vinavyo takiwa kutumika hapa nchini.

Source Azam Tv
Tatizo hao tcra Hawana wataalamu, wao wanategemea mifumo tu. Kuna simu ambazo ni Original na zikija hapa zinasoma kuwa ni feki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
88433616_1626608757505359_604663779606659072_n-390x220.jpg

Watu wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kujihusisha na kufungua Simu zilizofungwa na TCRA ili kubadili uhalisia wa IMEI namba.

Wakisomewa mashtaka hayo na wakili wa serikali Esther Martin mbele ya Hakimu mkazi mwandamizi Augustina Mbando watu hao Abdul Nassor na Said Msangi ambao ni mafundi simu Kariakoo Dar es Salaam wanadaiwa Februari 27 mwaka huu walibadili namba tambulishi ya Simu aina ya Tekno.

89702468_1626608764172025_2880035417489408000_n.jpg


Wawili hao pia wanadaiwa kubadili namba za simu tambulishi maarufu IMEI. Ikumbukwe kuwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) ilifungia simu zote bandia au ambazo hazikufikia viwango vinavyo takiwa kutumika hapa nchini.

Source Azam Tv
Sheria ifuate mkondo wake
 
Back
Top Bottom