Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Chabo vyuoni wanaita deo, yaani nimeleta wapangaji hawana miezi miwili ikifika saa sita naanza kuhondomola shemeji yenu nasikia kama panya anakwaruza ukuta. Mwanzo nkavumilia nkahisi pakaa sasa asbh ya leooo niliposikia nikampanga mke apige makelele ya mapenzi gafla nasikia dirisha zinatingishika kufungua dirisha rey machoxkwa macho cipi ndugu
Nimeenda mzigo nimemwacha shemeji yenu anadili nae, kumbe haka katabia badoo kapooo aiseeee nilijua n guest house tu. Nakumbuka miaka ya nyuma kuna lodge mapambano wanaita kwa babu ama sukuma hapa yaan ugonge taa zinawaaka ukigeuka unakuta kijiti kimesukuma paziaa mmmh
Sitosahau kama mara nne hivi na vyumba tofauti means madirisha oote wamechana kwa ajili ya kupigana chabooo, na wewe unaesoma mama una hako kamchezo acha mbaya sana n sumuu na kinarithishana kama kisukari.
Nimeenda mzigo nimemwacha shemeji yenu anadili nae, kumbe haka katabia badoo kapooo aiseeee nilijua n guest house tu. Nakumbuka miaka ya nyuma kuna lodge mapambano wanaita kwa babu ama sukuma hapa yaan ugonge taa zinawaaka ukigeuka unakuta kijiti kimesukuma paziaa mmmh
Sitosahau kama mara nne hivi na vyumba tofauti means madirisha oote wamechana kwa ajili ya kupigana chabooo, na wewe unaesoma mama una hako kamchezo acha mbaya sana n sumuu na kinarithishana kama kisukari.