Wapangaji wananila chabo msaada?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Chabo vyuoni wanaita deo, yaani nimeleta wapangaji hawana miezi miwili ikifika saa sita naanza kuhondomola shemeji yenu nasikia kama panya anakwaruza ukuta. Mwanzo nkavumilia nkahisi pakaa sasa asbh ya leooo niliposikia nikampanga mke apige makelele ya mapenzi gafla nasikia dirisha zinatingishika kufungua dirisha rey machoxkwa macho cipi ndugu

Nimeenda mzigo nimemwacha shemeji yenu anadili nae, kumbe haka katabia badoo kapooo aiseeee nilijua n guest house tu. Nakumbuka miaka ya nyuma kuna lodge mapambano wanaita kwa babu ama sukuma hapa yaan ugonge taa zinawaaka ukigeuka unakuta kijiti kimesukuma paziaa mmmh

Sitosahau kama mara nne hivi na vyumba tofauti means madirisha oote wamechana kwa ajili ya kupigana chabooo, na wewe unaesoma mama una hako kamchezo acha mbaya sana n sumuu na kinarithishana kama kisukari.
 
Keko 2004 hata kama hupendi Chabo utalazimika kupiga we unapita zako unakuta lodge taa inawaka dirisha wazi sauti juu inabidi uangalie tu
 
Reactions: 511
Hivi hata chai umepata? ni mapema sana thread kama hizi!
 
Reactions: 511
 
kuandika hujui na shule umeenda!!
vp labda n uwezo wako wa kufikir mdogo au unajishtukia tu
 
Kua makini tu wasije wakachukua na video kabisa
MKUU NIMEONA NIANZE KUFUNGA HIVI VYOO USIKU NTUMIE FENI BORA WASIJE HATA SIJUI KAMA WASHACHUKUA NIKIRUDI NATALKA NIMWITE MJUMBE TUKAGUE SIMU ZAO NA MASHAHIDI

KAUGONJWA KABAYA KULIKO UKIMWI
 
MKUU NIMEONA NIANZE KUFUNGA HIVI VYOO USIKU NTUMIE FENI BORA WASIJE HATA SIJUI KAMA WASHACHUKUA NIKIRUDI NATALKA NIMWITE MJUMBE TUKAGUE SIMU ZAO NA MASHAHIDI

KAUGONJWA KABAYA KULIKO UKIMWI
Ni vyema kuwa makini sana mkuu
 
kaka kajifunze kusoma na kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…