Ukampididy auuWaparee mpoooo
Jumuiya ya waparee waishiyo Kenya wameomba KUTAMBULIWA RASMI. Kama wakenya na wachangiaji WA uchumi WA Kenya
Wakiongea MBELE ya makamu WA RAISI wamesema wanaomba kupitia gazeti rasmi la serikali watambulike kama wakenya
BAADA ya maambi hayoo MH makamu WA rahisi amewahakikishia analifanyia kazi kabla ya July watakuwa Wana URAIA rasmi
AMeshukuru WAPARE ambao wako Kenya zaidi ya miaka 9 sa walifanya kilimo na kazi mbali mbali za ujenzi WA taifa
Na ameomba atalifanyia kaziii
Waparee oyeeee
Ngoja nkaoe mpareee Kenya nisipate shida na wakwe zanguu
KyWaparee mpoooo
Jumuiya ya waparee waishiyo Kenya wameomba KUTAMBULIWA RASMI. Kama wakenya na wachangiaji WA uchumi WA Kenya
Wakiongea MBELE ya makamu WA RAISI wamesema wanaomba kupitia gazeti rasmi la serikali watambulike kama wakenya
BAADA ya maambi hayoo MH makamu WA rahisi amewahakikishia analifanyia kazi kabla ya July watakuwa Wana URAIA rasmi
AMeshukuru WAPARE ambao wako Kenya zaidi ya miaka 9 sa walifanya kilimo na kazi mbali mbali za ujenzi WA taifa
Na ameomba atalifanyia kaziii
Waparee oyeeee
Ngoja nkaoe mpareee Kenya nisipate shida na wakwe zanguu
Hivi Kenya Haina eneo wanakopatikana hili kabila la wapare? Ebu wadau. kama Kuna mwenye ufahanu wa hilo atujuze