Wape neno moja wakali wa msimbazi kutoka Brazil

Wape neno moja wakali wa msimbazi kutoka Brazil

crusader_jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
994
Reaction score
851
FB_IMG_15741712566469598.jpg

Uzi tayari karibu jamvini
 
Jamaa wamekuja kupiga dili bongo kwao hamna ishu
 
Walikuja na gari ya matikiti watarudi na gari ya mananasi
 
Mimi na waambia tu wakumbuke dhithi idhi Tanzania tunajali ndumba kuliko vipaji.

napia uwape ujumbe kwamba, kocha hananguvu yakumpanga mchezaji amtakaye,Wala kucheza mfumo anaoona unamfaa. wenye uwezo huo ni wachache wenye pesa zao.
 
Waache zarau yakukubalikubali tu kusajiliwa wakati hawajui waone aibu bx
 
Wakati mwingine wasikubali kujiharibia CV zao kirahisi kabisa kwa kusajiliwa na timu yenye mashabiki wengi 'mbumbumbu"
 
Back
Top Bottom