Tafuta na God Father...The God Father Return na The Cicilian vyote Mario Puzzo ameandika na ni kama unawatch movie za Mafia ni noma sana.Nitaitafuta hii mzee
Asee na mpango wa kukinunua hichoTafuta na God Father...The God Father Return na The Civilian vyote Mario Puzzo ameandika na ni kama unawatch movie za Mafia ni noma sana.
Hiyo ni Cicilian not Civilian.Tafuta na God Father...The God Father Return na The Civilian vyote Mario Puzzo ameandika na ni kama unawatch movie za Mafia ni noma sana.
Habari, wanajamvi/wapwa.
Leo Nimekuja na mada Kama inavojieleza, Mie Ni mmoja wa wanaopenda kujisomea vitabu na movie pia.
Ila KWA Sasa naomba tujuzane VITABU /NOVELS Kali Kali na zenye kusisimua ambazo hazichoshi na unaeza kaa kwenye Mwendokasi Mpaka unafika kimara hujaangalia nje dirishani.
Mie naanza na A TIME TO KILL- GRAHAM, na THE PERICAN BRIEF.
Tafadhali zipi nyingine nikizitafuta zitojutia hela na muda wangu.
Asanteni
OMERTA-Mario Puzo
James Hadley Chase zote
Sidney Sheldon zote.
John Graham zote
Mario Puzo zote
Ha ha ha!
No doubt you’re one of the brilliant brain in JF!
Chase I read couple of them.
Hapo kwenye John ulimaanisha Grisham? ama kuna author anaitwa Graham?
Kudos Mkuu for being such a book avid fan!
Grisham ni Genius. Tafuta Rainmaker, the Firm au the Partner.A TIME TO KILL, nimeisoma last month.
What a gripping and thrilling story back to BLACK CIVIL RIGHT MOVEMENTS IN USA?????
Man, the Trial was preposterous, Verdict reached uncredibly shocking, I was in Awe!!!
Dah, Grisham is of no match when it comes to legal thriller.
Juzi nimemaliza THE RUNAWAY JURY, Stunningly amazing piece of Grisham, Trial again was hazardous, Verdict itself was breath taking!!
Right now nipo na THE BOURNE ULTIMATUM, Carl The Jackal inside, a long term opponent of Jason Bourne, both trying to make a scene.....!!
Nikimaliza I would like to exchange, I have got ODESSA FILE BY FREDERICK FORSYTH PLUS ONE SYDNEY SHELDON’s Novel.