Wapendekoste kikao cha kupendekeza wajumbe wa bunge la katiba kilifanyika ?

Wapendekoste kikao cha kupendekeza wajumbe wa bunge la katiba kilifanyika ?

East African Eagle

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
3,759
Reaction score
2,206
Kuna maaskofu wanadai walipeleka majina ya wajumbe wa katiba kwa raisi ili wateuliwe.Swali ni je kikao cha kuteua majina hayo kilifanyika wapi na lini? Waliokaa kupendekeza majina hayo ni akina nani? Je idadi ya wajumbe wanaotakiwa kwenye kikao cha uteuzi ilitimia kama taratibu za vikao zinavyotaka katika katiba?

Minuti za kikao hicho cha uteuzi zipo? kama ziko ziwekwe wazi na zianikwe hapa Jamii forum sababu minute za kikao kama hicho sio siri.

Tunaomba baraza la walokole wapentecoste waweke minute ya hicho kikao kilichofanya huo uteuzi kikitaja waliohudhuria,walioshindwa kuhudhuria na vigezo walivyotumia kufanya huo uteuzi,na walvyopata hayo majina wanayoyadai walipeleka kwa kwa raisi .Minute za kikao ziwekwe hapa wasiishie kusema walipeleka waweke minutes hapa.Wasije kuwa walipeleka ambacho hawakuambiwa na yeyote kupeleka.Kama walipeleka majina ambayo hawakuambiwa katika kikao cha wapentecoste wapeleke ni sawa na kutopeleka chochote kwa hiyo serikali ikisema haikupokea iko sawa sababu huwezi kupokea kitu ambacho hakiko kwenye sheria (null and void) kwa maana ya kuwa hakikupendekezwa kwa taratibu za katiba ya wapendekoste na taratibu za mapendekezo zinavyotaka.Serikali isingepokea majina hewa toka kwenye draw ya askofu yeyote au kikundi cha maaskofu binafsi ambao hawajashirikisha wajumbe wenzao wanachama wote wa hilo baraza.Minute ziletwe humu tuone.
 
Kama taratibu za kisheria zinahitaji hilo kwa kila taasisi iliyopendekeza majina lifanyike, nadhani watakuwa waliwakilisha hivyo vielelezo kwa wahusika. Kwa sababu kama ni takwa la kisheria, wapokeaji wasingeweza kupokea bila kuwa na vielelezo vinavyotakiwa.

Lakini sidhani kama hilo lilikuwa ni takwa kisheria....Na kama sasa (naa-assume) taratibu zilizowekwa kisheria hazikuhitaji hilo na hii itakuwa kwa taasisi zote, na hao waliopokea majina, hawakudai hivyo vielelezo......sasa wewe unafikiri ni nani ili wakuonyeshe wewe ?! Na kwa nini udai kwao tu ? Kwa nini usidai kwa wengine tena ambao wamechaguliwa ?



Kuna maaskofu wanadai walipeleka majina ya wajumbe wa katiba kwa raisi ili wateuliwe.Swali ni je kikao cha kuteua majina hayo kilifanyika wapi na lini? Waliokaa kupendekeza majina hayo ni akina nani? Je idadi ya wajumbe wanaotakiwa kwenye kikao cha uteuzi ilitimia kama taratibu za vikao zinavyotaka katika katiba?

Minuti za kikao hicho cha uteuzi zipo? kama ziko ziwekwe wazi na zianikwe hapa Jamii forum sababu minute za kikao kama hicho sio siri.

Tunaomba baraza la walokole wapentecoste waweke minute ya hicho kikao kilichofanya huo uteuzi kikitaja waliohudhuria,walioshindwa kuhudhuria na vigezo walivyotumia kufanya huo uteuzi,na walvyopata hayo majina wanayoyadai walipeleka kwa kwa raisi .Minute za kikao ziwekwe hapa wasiishie kusema walipeleka waweke minutes hapa.Wasije kuwa walipeleka ambacho hawakuambiwa na yeyote kupeleka.
 
Kama taratibu za kisheria zinahitaji hilo kwa kila taasisi iliyopendekeza majina lifanyike, nadhani watakuwa waliwakilisha hivyo vielelezo kwa wahusika. Kwa sababu kama ni takwa la kisheria, wapokeaji wasingeweza kupokea bila kuwa na vielelezo vinavyotakiwa.

Lakini sidhani kama hilo lilikuwa ni takwa kisheria....Na kama sasa (naa-assume) taratibu zilizowekwa kisheria hazikuhitaji hilo na hii itakuwa kwa taasisi zote, na hao waliopokea majina, hawakudai hivyo vielelezo......sasa wewe unafikiri ni nani ili wakuonyeshe wewe ?! Na kwa nini udai kwao tu ? Kwa nini usidai kwa wengine tena ambao wamechaguliwa ?

Hata shirikisho la waganga wa kienyeji walikaa wakapitisha jina la Kingunge Ngombare mwiru.Na wakatangaza kuwa walikaa kikao quorum ikaenea wakamteua wakaviambia na vyombo vya habari hivyo.Jibu rahisi kabisa.Wapendekoste wadhibitishe hilo na watoe minute za hicho kikao cha uteuzi waache kujificha kwenye madhabahu ya uongo watoe miniti za vikao,vigezo walivyotumia na majina waeleze yalivyopatikana.
 
Hilo ni takwa la kisheria ? Kama sio, hicho unachodai hakina maana ! Can't you see that ?

Na kwa akili ya kawaida tu, jumuiya ya madhehebu zaidi ya hamsini haiwezi kuteua wajumbe bila kuwa na kikao....PCT ni taaisisi iliyo katika level moja na TEC, CCT, na Bakwata......ni muunganiko wa madhahebu 75 (SIO makanisa)! Wana waumini mamilioni (mimi nikiwa mmoja wao)....Unafikiri chama ambacho ni mkusanyiko wenye madhehebu 75 kinaweza kuchagua wajumbe bila kikao ?! Na wakikuonyesha hizo minutes utaridhika ? Au utadai tena minutes za vikao vya nyuma vilivyowachagua hao wajumbe !

Waganga wa kienyeji walikuonyesha minutes zao? Ni nani wengine waliokuonyesha minutes zao ?! Kwa nini unataka hawa tu ndio wakuonyeshe minutes zao ?

Hata shirikisho la waganga wa kienyeji walikaa wakapitisha jina la Kingunge Ngombare mwiru.Na wakatangaza kuwa walikaa kikao quorum ikaenea wakamteua wakaviambia na vyombo vya habari hivyo.Jibu rahisi kabisa.Wapendekoste wadhibitishe hilo na watoe minute za hicho kikao cha uteuzi waache kujificha kwenye madhabahu ya uongo watoe miniti za vikao,vigezo walivyotumia na majina waeleze yalivyopatikana.
 
Kuna maaskofu wanadai walipeleka majina ya wajumbe wa katiba kwa raisi ili wateuliwe.Swali ni je kikao cha kuteua majina hayo kilifanyika wapi na lini? Waliokaa kupendekeza majina hayo ni akina nani? Je idadi ya wajumbe wanaotakiwa kwenye kikao cha uteuzi ilitimia kama taratibu za vikao zinavyotaka katika katiba?

Minuti za kikao hicho cha uteuzi zipo? kama ziko ziwekwe wazi na zianikwe hapa Jamii forum sababu minute za kikao kama hicho sio siri.

Tunaomba baraza la walokole wapentecoste waweke minute ya hicho kikao kilichofanya huo uteuzi kikitaja waliohudhuria,walioshindwa kuhudhuria na vigezo walivyotumia kufanya huo uteuzi,na walvyopata hayo majina wanayoyadai walipeleka kwa kwa raisi .Minute za kikao ziwekwe hapa wasiishie kusema walipeleka waweke minutes hapa.Wasije kuwa walipeleka ambacho hawakuambiwa na yeyote kupeleka.Kama walipeleka majina ambayo hawakuambiwa katika kikao cha wapentecoste wapeleke ni sawa na kutopeleka chochote kwa hiyo serikali ikisema haikupokea iko sawa sababu huwezi kupokea kitu ambacho hakiko kwenye sheria (null and void) kwa maana ya kuwa hakikupendekezwa kwa taratibu za katiba ya wapendekoste na taratibu za mapendekezo zinavyotaka.Serikali isingepokea majina hewa toka kwenye draw ya askofu yeyote au kikundi cha maaskofu binafsi ambao hawajashirikisha wajumbe wenzao wanachama wote wa hilo baraza.Minute ziletwe humu tuone.
Naona nawe ni kama miongoni mwa wajinga wengine tu ambao wanaleta hoja zilizojaa pumba. DHana na hoja sio majina yamepatikanaje, hoja ni kwa nini Kikwete na serikali ya CCM hawajachagua mjumbe toka PCT? Kama --------- na kuwa mmetupilia mbali majina hayo kwa sababu akidi haikutimia mseme wazi ili muendelee kujivua nguo wenyewe mbele ya wajukuu na watoto wenu. Serikali ni ya kidini na imetumia udini kuwabagua PCT.
 
pct ni taaisisi iliyo katika level moja na tec, cct, na bakwata......ni muunganiko wa madhahebu 75 (sio makanisa)! Wana waumini mamilioni (mimi nikiwa mmoja wao)....unafikiri chama ambacho ni mkusanyiko wenye madhehebu 75 kinaweza kuchagua wajumbe bila kikao ?! ?

hao waumini mamilioni mlionao mliwajuaje kuwa mna mamilioni ya waumini? Hivi sensa ya mwisho ya kuhesabu waumini wenu mliifanya tarehe gani mwezi gani na mwaka gani vile? Naomba nikumbushe sioni taarifa kwenye maktaba yangu.
 
Kuna maaskofu wanadai walipeleka majina ya wajumbe wa katiba kwa raisi ili wateuliwe.Swali ni je kikao cha kuteua majina hayo kilifanyika wapi na lini? Waliokaa kupendekeza majina hayo ni akina nani? Je idadi ya wajumbe wanaotakiwa kwenye kikao cha uteuzi ilitimia kama taratibu za vikao zinavyotaka katika katiba?

Minuti za kikao hicho cha uteuzi zipo? kama ziko ziwekwe wazi na zianikwe hapa Jamii forum sababu minute za kikao kama hicho sio siri.

Tunaomba baraza la walokole wapentecoste waweke minute ya hicho kikao kilichofanya huo uteuzi kikitaja waliohudhuria,walioshindwa kuhudhuria na vigezo walivyotumia kufanya huo uteuzi,na walvyopata hayo majina wanayoyadai walipeleka kwa kwa raisi .Minute za kikao ziwekwe hapa wasiishie kusema walipeleka waweke minutes hapa.Wasije kuwa walipeleka ambacho hawakuambiwa na yeyote kupeleka.Kama walipeleka majina ambayo hawakuambiwa katika kikao cha wapentecoste wapeleke ni sawa na kutopeleka chochote kwa hiyo serikali ikisema haikupokea iko sawa sababu huwezi kupokea kitu ambacho hakiko kwenye sheria (null and void) kwa maana ya kuwa hakikupendekezwa kwa taratibu za katiba ya wapendekoste na taratibu za mapendekezo zinavyotaka.Serikali isingepokea majina hewa toka kwenye draw ya askofu yeyote au kikundi cha maaskofu binafsi ambao hawajashirikisha wajumbe wenzao wanachama wote wa hilo baraza.Minute ziletwe humu tuone.

"Wapendekoste" maana yake nini? Poleni, mmeshushuka! Mnaanza sasa kukusanya pumba na utumbo!
 
HOJA ya swala la waPENTEKOSTE siyo kikao kilichowachagua wajumbe wa kuwawakilisha. Swala kubwa hapa ni IKULU kutoa tamko kwamba hawakuwahi kupokea majina kutoka kwenye kundi hili, jambo lililobainika kuwa ni uongo. Na hapa IKULU inatakiwa kuomba msamaha kwa UZEMBE huu uliofanyika.

Kama hii ndiyo ilikuwa sababu, kwanini IKULU haikusema kuwa haikuwachagua kwa sababu hii?

Je, kama wataleta minutes zao, wataweza kujumuishwa kwenye BUNGE hili la KATIBA sambamba na IKULU kuomba msamaha?
 
Serikali yenyewe ya kichawi na ya kishirikina, utategemea ichague MPCT akaharibu kazi zao! Wasoma dua na wapiga bao ndo tegemeo lao! Unadhani mzee kama kingunge kaenda humo kufanya nini?
 
Naona sasa umehama kutoka kwenye hoja yako ya msingi (ya kudai minutes za kikao) na umehamia kwenye idadi ya waumini !

Sisi kwenye makanisa yetu, hatujasajiliwa kwa idadi tu, tumekwenda mbali zaidi, tumesajiliwa kwa majina na tuna details nyingine nyingi kwa kila muumini...na hata wewe ukiamua kujiunga leo, utasajiliwa jina lako, unapokaa na utakabidhiwa kwa kiongozi wa eneo aliye karibu na unakoishi.....Nadhani watu wenye information za aina hiyo wanaweza kujua easily wako wangapi ! Ni kiasi cha kujumlisha tu.......

Besides, watu wa jumuia fulani kujijua idadi yao ni jambo la kawaida wakitaka kufanya hivyo...ndio maana wizara/taasisi yeyote inaweza ikakwambia tuna wafanyakazi kadhaa.... Wakatoliki wanaweza kujua idadi yao, waislam etc.

I hope kwenye maktaba yako kuna taarifa za wizara zote au taasisi nyingine zote zinazojua idadi ya wanachama wao ! Na inavyoelekea kwenye hiyo maktaba yako utakuwa na tarehe, mwezi na mwaka wizara/taasisi hizo zilipofanya sensa ! Hiyo maktaba yako nadhani itakuwa zaidi hata ya ofisi ya mtakwimu mkuu wa serikali, kwa sababu inaelekea ina-information zote kuhusu mambo ya ndani ya taasisi mbali mbali....

Unaweza kunitajia angalau wizara moja, ambayo una details zote kwenye maktaba yako kama nilivyotaja hapo juu ? (kama ulivyozitaja kwenye post yako)....Na je unafikiri hakuna taasisi nyingine yeyote inayojua idadi ya watumishi/wanachama wao eti kwa sababu haipo kwenye maktaba yako wewe ?!


hao waumini mamilioni mlionao mliwajuaje kuwa mna mamilioni ya waumini? Hivi sensa ya mwisho ya kuhesabu waumini wenu mliifanya tarehe gani mwezi gani na mwaka gani vile? Naomba nikumbushe sioni taarifa kwenye maktaba yangu.
 
Kama taratibu za kisheria zinahitaji hilo kwa kila taasisi iliyopendekeza majina lifanyike, nadhani watakuwa waliwakilisha hivyo vielelezo kwa wahusika. Kwa sababu kama ni takwa la kisheria, wapokeaji wasingeweza kupokea bila kuwa na vielelezo vinavyotakiwa.

Lakini sidhani kama hilo lilikuwa ni takwa kisheria....Na kama sasa (naa-assume) taratibu zilizowekwa kisheria hazikuhitaji hilo na hii itakuwa kwa taasisi zote, na hao waliopokea majina, hawakudai hivyo vielelezo......sasa wewe unafikiri ni nani ili wakuonyeshe wewe ?! Na kwa nini udai kwao tu ? Kwa nini usidai kwa wengine tena ambao wamechaguliwa ?
Umemjibu vizuri sana mwanzisha thread,ningekuwa mimi ningekubali yaishe nafunga thread!
 
Kuna maaskofu wanadai walipeleka majina ya wajumbe wa katiba kwa raisi ili wateuliwe.Swali ni je kikao cha kuteua majina hayo kilifanyika wapi na lini? Waliokaa kupendekeza majina hayo ni akina nani? Je idadi ya wajumbe wanaotakiwa kwenye kikao cha uteuzi ilitimia kama taratibu za vikao zinavyotaka katika katiba?

Minuti za kikao hicho cha uteuzi zipo? kama ziko ziwekwe wazi na zianikwe hapa Jamii forum sababu minute za kikao kama hicho sio siri.

Tunaomba baraza la walokole wapentecoste waweke minute ya hicho kikao kilichofanya huo uteuzi kikitaja waliohudhuria,walioshindwa kuhudhuria na vigezo walivyotumia kufanya huo uteuzi,na walvyopata hayo majina wanayoyadai walipeleka kwa kwa raisi .Minute za kikao ziwekwe hapa wasiishie kusema walipeleka waweke minutes hapa.Wasije kuwa walipeleka ambacho hawakuambiwa na yeyote kupeleka.Kama walipeleka majina ambayo hawakuambiwa katika kikao cha wapentecoste wapeleke ni sawa na kutopeleka chochote kwa hiyo serikali ikisema haikupokea iko sawa sababu huwezi kupokea kitu ambacho hakiko kwenye sheria (null and void) kwa maana ya kuwa hakikupendekezwa kwa taratibu za katiba ya wapendekoste na taratibu za mapendekezo zinavyotaka.Serikali isingepokea majina hewa toka kwenye draw ya askofu yeyote au kikundi cha maaskofu binafsi ambao hawajashirikisha wajumbe wenzao wanachama wote wa hilo baraza.Minute ziletwe humu tuone.
Hiki Kichwa kinaweza Kuwa Na Matatizo zaidi ya tunavyofikiria.. Maisha yasiyoeleweka, watu kula Kwa kuchonga maneno in dalili Za Frustrations. Sijui Kwa Nini Mtu anapost takataka ila yeye hagundui Kwamba Ni Takatata.
 
Hiki Kichwa kinaweza Kuwa Na Matatizo zaidi ya tunavyofikiria.. Maisha yasiyoeleweka, watu kula Kwa kuchonga maneno in dalili Za Frustrations. Sijui Kwa Nini Mtu anapost takataka ila yeye hagundui Kwamba Ni Takatata.

Unajua ukitukana mtu unakuwa hujajibu hoja.Hoja ilikuwa ni kama kikao cha kupendekeza wajumbe bunge la katiba kilifanyika au la! naomba urudi kujibu hoja.
 
Hivi ni kwanini watu wanapenda kushadadia mambo ya wenyewe kwani unataka kujua kikao kilifanyika lini wewe ni miongoni mwa maaskofu wa kipentecoste waacheni wayamalize wenyewe na serikali yao jamani
hivi mnavyochunguza chunguza mnawapalia mkaa bure hao kwani serikali haiwagi na kukosea wewe uliona wapi serikali inajisemea kuwa imekosea lazima itajitetea na kujilinda tu ilimradi ionekane mbele za watu wananchi iko stari mzuir na kumbe si lolote wala chochote wanajikannganya tu kwetu wananchi



Kuna maaskofu wanadai walipeleka majina ya wajumbe wa katiba kwa raisi ili wateuliwe.Swali ni je kikao cha kuteua majina hayo kilifanyika wapi na lini? Waliokaa kupendekeza majina hayo ni akina nani? Je idadi ya wajumbe wanaotakiwa kwenye kikao cha uteuzi ilitimia kama taratibu za vikao zinavyotaka katika katiba?

Minuti za kikao hicho cha uteuzi zipo? kama ziko ziwekwe wazi na zianikwe hapa Jamii forum sababu minute za kikao kama hicho sio siri.

Tunaomba baraza la walokole wapentecoste waweke minute ya hicho kikao kilichofanya huo uteuzi kikitaja waliohudhuria,walioshindwa kuhudhuria na vigezo walivyotumia kufanya huo uteuzi,na walvyopata hayo majina wanayoyadai walipeleka kwa kwa raisi .Minute za kikao ziwekwe hapa wasiishie kusema walipeleka waweke minutes hapa.Wasije kuwa walipeleka ambacho hawakuambiwa na yeyote kupeleka.Kama walipeleka majina ambayo hawakuambiwa katika kikao cha wapentecoste wapeleke ni sawa na kutopeleka chochote kwa hiyo serikali ikisema haikupokea iko sawa sababu huwezi kupokea kitu ambacho hakiko kwenye sheria (null and void) kwa maana ya kuwa hakikupendekezwa kwa taratibu za katiba ya wapendekoste na taratibu za mapendekezo zinavyotaka.Serikali isingepokea majina hewa toka kwenye draw ya askofu yeyote au kikundi cha maaskofu binafsi ambao hawajashirikisha wajumbe wenzao wanachama wote wa hilo baraza.Minute ziletwe humu tuone.
 
bora ya wewe uliyemsema hapa yaani hata mm kaniboa sana
sijui alikuwa hajielewi mpaka aandike huzi huu mchafu mtupu


Hiki Kichwa kinaweza Kuwa Na Matatizo zaidi ya tunavyofikiria.. Maisha yasiyoeleweka, watu kula Kwa kuchonga maneno in dalili Za Frustrations. Sijui Kwa Nini Mtu anapost takataka ila yeye hagundui Kwamba Ni Takatata.
 
hao waumini mamilioni mlionao mliwajuaje kuwa mna mamilioni ya waumini? Hivi sensa ya mwisho ya kuhesabu waumini wenu mliifanya tarehe gani mwezi gani na mwaka gani vile? Naomba nikumbushe sioni taarifa kwenye maktaba yangu.

nikushauri tu kitu kimoja.Ficha U......vu wako usichekwe.Sioni point hata moja kwenye hoja yako.Je!wadhani wenye hayo makanisa hawana statistics za watu wao?au mpaka sensa ya serikali?huu muda uliotumia kuandika hapa ungelala akili yako ingepata afya, sioni kinachokutoa povu hivyo!!!!!!!!!!!!!!!
 
Sioni point hata moja kwenye hoja yako

Watu hawafanani ndio maana wengine weupe wengine weusi.Wengine wanajua kujibu hoja wengine wanajua kuungurumisha matusi.Mwenyewe niliyeanzisha huu mjadala naona nimeandika pointi hasa na wewe naona hujaandika kitu na hata kama swali hili halitajibiwa humu jamii forum kuna mahali mtu aliyepeleka hayo majina atahojiwa mahali.Lakini hata hivyo naheshimu mawazo yako maana ni yako yawe ya kejeli au potofu ni mawazo yako ni mali yako una hatimiliki nayo.
 
Back
Top Bottom