wapendwa salaam,
nataka nifungue ka boutique ka dogo hapo dar niuze vipodozi kutoka uk,swali langu ni hili kuna kodi yeyote mzigo ukishafika bandarini???nitumie njia gani ?zaidi ya kusubiri contena lijae???kipimo ni contena peke yake???nikituma maboksi km DHL is it cheaper????
asanteni
nataka nifungue ka boutique ka dogo hapo dar niuze vipodozi kutoka uk,swali langu ni hili kuna kodi yeyote mzigo ukishafika bandarini???nitumie njia gani ?zaidi ya kusubiri contena lijae???kipimo ni contena peke yake???nikituma maboksi km DHL is it cheaper????
asanteni