Muoenakano tu ni kwamba Mafanikio yako sidhani kama ni ya kudum kwenye maisha.Inaonekana ni mtu wa kukurupuka kwenye maamuzi.In Psychology writing survey
We umeandika Post muda wa leo then unaanza kuhukumu watu kuwa hakuna anaejua,mara wachoyo wa mafanikio.Na kuweka Icon ya Hasira,Yametoka wapi yote hayo.
Au kwa kauli yako unafikiria watu wanalala humu humu kwenye Jf,watu wanashughuli zao na kuna watu wanaingia humu kila wiki mara moja tu and they are experts on what you have mentioned.
Jaribu kuwa mstaarabu kuna watu watakuwa wanajua ila kwa kauli zako utashindwa kupata ushauri mzuri.
Wamo watu humu wame post na thread imejibiwa mpaka mwezi mmoja ndio mtu anapata jibu.
We unataka ujibiwe haraka wewe umeshindwaje kwenda TRA na mamlaka ya bandari kuwauliza wakati upo mjini.
Unapouliza kitu ili kujua inabidi uwe mstaarabu and patient
haya wewe ndio psychiatrist wa humu,inabidi tunyenyekee kwa kupiga magoti kny screen zetu ili tushauriwe,,,,hujui nipo wapi,nafanya nini tayari ushaconlude mafanikio yangu si ya kudumu...mkuu km huna cha kupost si usichangie tu kuliko kujifanya kina sheikh yahaya.....maneno meengi kuattak my personality bila msaada wowote relevant na topic yangu....next time ukijibu topic ya mtujaribu kuwa relevant and stick to the issues at hand....
Jifunze uvumilivu,tambua kosa ukikosea na kubali kulekebishwa ndugu umekosea usiendelee kukosea zaidi.Na kwa hayo majibu yako sidhan kama utapata msaada humu ndani
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
kwahali hii sidhani kama unaiweza hata hyo bznes coz huna uvumilivu kabisa
mnh hakuna anayejua? au wachoyo na mafanikio yenu?:frusty::frusty: