Wapendwa naumwa kiuno

Wapendwa naumwa kiuno

Bin Shaib

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,346
Reaction score
1,221
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo,,wapendwa me naumwa kiuno kimenisumbua sahizi Kama miezi miwili sasa.
Umri miaka 29

CHANZO CHA TATIZO:
Siku moja usiku nilikuwepo nyumbani basi nipo zangu nimetulia ndani mala panya akapita juu ya kench nyumba ni slope ,,nikawa nimechukuwa ufagio mfupi ili nimpige adondoke chini ile nampiga kwa kuruka juu ili nimfikie mara nikarudi chini kwa maumivu makali ya kiuno yaliyo sababisha nichuchumae huku naugulia maumivu.
Kumbe pale nilipo ruka nilijitikisa mwili vibaya nikiwa kwenye hali ya kuruka hapo ndo changamoto ilianzia

KESHO YAKE:
Nikawa nimeenda sehemu lakini maumivu yalikuwa makali nikawaambia wenzangu naumwa hakika,,maana nilikuwa natamani niwe nimekaa tu lakini kila nikisimama nachoka kwa maumivu,,

UZALENDO UKANISHINDA:
Nikampigia Doctor mmoja namfahamu ana Duka la Madawa nikamuelezea akaniambi hiyo ni misuli imeshituka ,,so baadae usiku akaniletea dawa (Vidonge)nililipa kati ya 2500/=,nilitumia hiyo dawa kwa siku kama saba baadae hiyo hali ilipotea.

MAENDELEO KWA SASA:
Kuna wakati maumivu yanatokea nayasikia japo si makali saana pia nimeongea na Doctor amesema ntaenda nikachukue dawa,,

Msaada wapendwa:
Mazoezi yanaweza kuondoa TATIZO hili?!
Ama nikapime hospital kubwa?!
Ama nitumie dawa hali itaondoka?!
Msaada kwa wajuzi
MUNGU awabariki.
 
OK pole Sana .

Pia ungetaja na umri wako hii itasaidia kuangalia mfanano wa tatizo kuhusu matibabu
 
anza zoezi mdogomdogo utakakaa sawa tu uliruka harafu kutua chini ukatua umesimama wima, ungetua chini kama kwa kudang hivi kama unachumama au kama unataka kupiga magoti, au nimekosea 🤗
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo,,wapendwa me naumwa kiuno kimenisumbua sahizi Kama miezi miwili sasa.

CHANZO CHA TATIZO:
Siku moja usiku nilikuwepo nyumbani basi nipo zangu nimetulia ndani mala panya akapita juu ya kench nyumba ni slope ,,nikawa nimechukuwa ufagio mfupi ili nimpige adondoke chini ile nampiga kwa kuruka juu ili nimfikie mara nikarudi chini kwa maumivu makali ya kiuno yaliyo sababisha nichuchumae huku naugulia maumivu.
Kumbe pale nilipo ruka nilijitikisa mwili vibaya nikiwa kwenye hali ya kuruka hapo ndo changamoto ilianzia

KESHO YAKE:
Nikawa nimeenda sehemu lakini maumivu yalikuwa makali nikawaambia wenzangu naumwa hakika,,maana nilikuwa natamani nuwe nimekaa tu lakini kilusimama nachoka maumivu,,

UZALENDO UKANISHINDA:
Nikampigia Doctor mmoja namfahamu ana Duka la Madawa nikamuelezea akaniambi hiyo ni misuli imeshituka ,,so baadae usiku akaniletea dawa (Vidonge)nililipa kati ya 2500/=,nilitumia hiyo dawa kwa siku kama saba baadae hiyo hali ilipotea.

MAENDELEO KWA SASA:
Kuna wakati maumivu yanatokea nayasikia japo si makali saana pia nineongea na Doctor amesema ntaenda nikachukue dawa,,

Msaada wapendwa:
Mazoezi yanaweza kuondoa TATIZO hili?!
Ama nikapime hospital kubwa?!
Ama nitumie dawa hali itaondoka?!
Msaada kwa wajuzi
MUNGU awabariki.
Yani unatuletea mada za kike wanaume tujadili? Ngoja nirudi zangu kwenye platform nifuatilie cryptocurrency.

XRP RIPPLE FAMILY.

COUNT DOWN TO GLORY.
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo,,wapendwa me naumwa kiuno kimenisumbua sahizi Kama miezi miwili sasa.

CHANZO CHA TATIZO:
Siku moja usiku nilikuwepo nyumbani basi nipo zangu nimetulia ndani mala panya akapita juu ya kench nyumba ni slope ,,nikawa nimechukuwa ufagio mfupi ili nimpige adondoke chini ile nampiga kwa kuruka juu ili nimfikie mara nikarudi chini kwa maumivu makali ya kiuno yaliyo sababisha nichuchumae huku naugulia maumivu.
Kumbe pale nilipo ruka nilijitikisa mwili vibaya nikiwa kwenye hali ya kuruka hapo ndo changamoto ilianzia

KESHO YAKE:
Nikawa nimeenda sehemu lakini maumivu yalikuwa makali nikawaambia wenzangu naumwa hakika,,maana nilikuwa natamani nuwe nimekaa tu lakini kilusimama nachoka maumivu,,

UZALENDO UKANISHINDA:
Nikampigia Doctor mmoja namfahamu ana Duka la Madawa nikamuelezea akaniambi hiyo ni misuli imeshituka ,,so baadae usiku akaniletea dawa (Vidonge)nililipa kati ya 2500/=,nilitumia hiyo dawa kwa siku kama saba baadae hiyo hali ilipotea.

MAENDELEO KWA SASA:
Kuna wakati maumivu yanatokea nayasikia japo si makali saana pia nineongea na Doctor amesema ntaenda nikachukue dawa,,

Msaada wapendwa:
Mazoezi yanaweza kuondoa TATIZO hili?!
Ama nikapime hospital kubwa?!
Ama nitumie dawa hali itaondoka?!
Msaada kwa wajuzi
MUNGU awabariki.
Una umri gani? Kama above 40 unaweza kuwa uli dislocate disc kwenye spinal cord. Hii itaendelea kuleta maumivu muda mrefu. Kupona kwake ni very slow.
Usijiingize kwenye matibabu makubwa utaharibu nerve.
Pendelea kulala chali umenyooka itakaa sawa.
 
N
anza zoezi mdogomdogo utakakaa sawa tu uliruka harafu kutua chini ukatua umesimama wima, ungetua chini kama kwa kudang hivi kama unachumama au kama unataka kupiga magoti, au nimekosea 🤗
Nilitua vizuri changamoto iliyosababisha shida ni kuutikisa mwili sehemu ya kiuno
 
Sawa mkuu mi ni miaka 29
Una umri gani? Kama above 40 unaweza kuwa uli dislocate disc kwenye spinal cord. Hii itaendelea kuleta maumivu muda mrefu. Kupona kwake ni very slow.
Usijiingize kwenye matibabu makubwa utaharibu nerve.
Pendelea kulala chali umenyooka itakaa sawa.
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo,,wapendwa me naumwa kiuno kimenisumbua sahizi Kama miezi miwili sasa.
Umri miaka 29

CHANZO CHA TATIZO:
Siku moja usiku nilikuwepo nyumbani basi nipo zangu nimetulia ndani mala panya akapita juu ya kench nyumba ni slope ,,nikawa nimechukuwa ufagio mfupi ili nimpige adondoke chini ile nampiga kwa kuruka juu ili nimfikie mara nikarudi chini kwa maumivu makali ya kiuno yaliyo sababisha nichuchumae huku naugulia maumivu.
Kumbe pale nilipo ruka nilijitikisa mwili vibaya nikiwa kwenye hali ya kuruka hapo ndo changamoto ilianzia

KESHO YAKE:
Nikawa nimeenda sehemu lakini maumivu yalikuwa makali nikawaambia wenzangu naumwa hakika,,maana nilikuwa natamani niwe nimekaa tu lakini kila nikisimama nachoka kwa maumivu,,

UZALENDO UKANISHINDA:
Nikampigia Doctor mmoja namfahamu ana Duka la Madawa nikamuelezea akaniambi hiyo ni misuli imeshituka ,,so baadae usiku akaniletea dawa (Vidonge)nililipa kati ya 2500/=,nilitumia hiyo dawa kwa siku kama saba baadae hiyo hali ilipotea.

MAENDELEO KWA SASA:
Kuna wakati maumivu yanatokea nayasikia japo si makali saana pia nimeongea na Doctor amesema ntaenda nikachukue dawa,,

Msaada wapendwa:
Mazoezi yanaweza kuondoa TATIZO hili?!
Ama nikapime hospital kubwa?!
Ama nitumie dawa hali itaondoka?!
Msaada kwa wajuzi
MUNGU awabariki.

Pole sana kwa changamoto unayopitia. Kulingana na maelezo yako, inaonekana tatizo linaweza kuwa limehusisha msuli au mfupa wa kiuno, hasa kutokana na jeraha ulilopata wakati wa kuruka.

Ushauri:

1. Mazoezi:
Mazoezi yanaweza kusaidia, lakini si vizuri kuanza mazoezi bila ushauri wa kitaalamu. Tafuta mtaalamu wa mazoezi ya mwili au mtaalamu wa tiba ya viungo (physiotherapist) ambaye anaweza kukupa mazoezi sahihi kwa hali yako.


2. Hospitali Kubwa:
Ni vyema kwenda hospitali kubwa ukapate vipimo zaidi, kama vile X-ray au MRI, ili kubaini kama kuna jeraha kwenye mifupa, mishipa ya neva, au msuli. Hii itasaidia kupata matibabu sahihi.


3. Matumizi ya Dawa:
Dawa zinaweza kusaidia kupunguza maumivu kwa muda, lakini haziondoi chanzo cha tatizo. Ni muhimu kufuata maelekezo ya daktari na kuhakikisha unapata uchunguzi kamili badala ya kutegemea dawa pekee.


4. Kupumzika:
Epuka kazi au shughuli zinazoweza kuongeza mzigo kwenye kiuno. Pumzika ipasavyo, lakini pia usikae bila kufanya harakati ndogo ndogo za mwili.



Usichelewe kufuata ushauri wa daktari, kwani matatizo ya kiuno yanapocheleweshwa kutibiwa yanaweza kuleta madhara ya muda mrefu. Tunakuombea uponyaji wa haraka, na Mungu akubariki!
 
Wapendwa nawasalimu kwa jina la Yesu Kristo,,wapendwa me naumwa kiuno kimenisumbua sahizi Kama miezi miwili sasa.
Umri miaka 29

CHANZO CHA TATIZO:
Siku moja usiku nilikuwepo nyumbani basi nipo zangu nimetulia ndani mala panya akapita juu ya kench nyumba ni slope ,,nikawa nimechukuwa ufagio mfupi ili nimpige adondoke chini ile nampiga kwa kuruka juu ili nimfikie mara nikarudi chini kwa maumivu makali ya kiuno yaliyo sababisha nichuchumae huku naugulia maumivu.
Kumbe pale nilipo ruka nilijitikisa mwili vibaya nikiwa kwenye hali ya kuruka hapo ndo changamoto ilianzia

KESHO YAKE:
Nikawa nimeenda sehemu lakini maumivu yalikuwa makali nikawaambia wenzangu naumwa hakika,,maana nilikuwa natamani niwe nimekaa tu lakini kila nikisimama nachoka kwa maumivu,,

UZALENDO UKANISHINDA:
Nikampigia Doctor mmoja namfahamu ana Duka la Madawa nikamuelezea akaniambi hiyo ni misuli imeshituka ,,so baadae usiku akaniletea dawa (Vidonge)nililipa kati ya 2500/=,nilitumia hiyo dawa kwa siku kama saba baadae hiyo hali ilipotea.

MAENDELEO KWA SASA:
Kuna wakati maumivu yanatokea nayasikia japo si makali saana pia nimeongea na Doctor amesema ntaenda nikachukue dawa,,

Msaada wapendwa:
Mazoezi yanaweza kuondoa TATIZO hili?!
Ama nikapime hospital kubwa?!
Ama nitumie dawa hali itaondoka?!
Msaada kwa wajuzi
MUNGU awabariki.
Madaktari wetu hawako serious!
Ukweli ni kwamba nenda hospital ufanye kipimo uone kama uko sawa au la.

Huyo alikupa sawa za maumivu tu sio za kuondoa tatizo maana bado hata yeye hajui tatizo no nini hadi kiuno kuuma.
 
Ondoa hofu, ondoa wasiwasi na mashaka. Ni kawaida misuli kushtuka hivyo, chukua maji ya baridi sana jikande eneo unalohisi maumivu, pia usifanye kazi nzito au tendo lolote ambalo litashtua misuli ghafla. Mazoezi madogo madogo ni mazuri sababu umeshauweka mwili tayari kuwa kuna mazoezi unataka ufanye.

After 2 weeks utaanza kupata nafuu kabisa, ndani ya wik 3 utarudi ktk hali yako kama ulivyokuwa awali.
 
Back
Top Bottom