Mr Multpurpose
Member
- May 14, 2023
- 24
- 14
Guyz habari mm ni mfanyabiashara naomba kujua sehemu ambayo watu wananunua dagaa wachafu kwa ajili ya vyakula vya migugo kwa sasa tuna tani kama 35 za dagaa wachafu lakni pia uduvi ila kwa sasa upatikanaji wake ni mdg sana.