Wapendwa, huu ni muendelezo wa post yangu ya (Ushauri wa Bure kwa waendao UDOM) pamoja na ile ya (wewe wa UDOM soma hapa fasta).
Kwa umuhimu wake, nimeona nizitenge ili zipate kuonekana, pamoja na hizo mbili, natoa hii ihusuyo bima ya Afya. Utaratibu wa kujiunga na Bima ya afya tembeleeni link ya MFUKO WA AFYA (BIMA YA AFYA) katika link hii ifuatayo:
Huduma kwa Wanachuo, hapo utapata kila kitu. Naomba ADMINS msiichanganye post hii kwa sababu ya umuhimu wake, huu ni utaratibu mpya hapa UDOM na pia haufahamiki kwa walio wengi.
kwanza nashukuru kwa taarifa hizi, naomba kuuliza yafuatayo
1) Ile 100,000 ya medical capitation hatulipi??
2) kujisajili na NHIF mpaka upate udhamini toka chuo wakati wamesema tuende tumejisajili na baadhi yetu sisi wazazi wote ni wakilima, tutafanyaje hapo??
3) itakuaje tukishindwa kujisajili na NHIF??
4) kwanini mpaka sasa UDOM hawajatoa admission latters?
ni hayo tu
xomkuu kuna pesa ya matibabu takribani laki moja tunalipa aple chuo, xo hiyo ndo wata i compaset kwenyemfuko au tunatakiwa kulipa tena elfu hamsini nyingine ukiachana na ile laki moja?