my dear mambo kama hayo yapo mengi tu
inategemea ni jinsi gani weye una respond back..
kuna wengine mchumba mzungu, mwarabu , mwafrica n.k.....
kuna wengine wazazi hawawataki watoto wao waolewe na fulani ..
kwa hiyo ni mambo ya kawaida tu ..
ushauri wangu kwako my dear ni muhimi kwako
kuwa mwanaume na wewe ndo utakuwa baba wa nyumba
kwa hiyo kama kawaida yeye abadili dini ..
lakini kama hiyo ni ngumu na unampenda kupita kiasi ..
chukua ushauri wa Papizo my dear kila mtu aishi na dini yake..
ila fikiria sana kuhusu hilo sababu baadaye mkipata watoto
ya weza leta matatizo...
Yap mwanamke ndio siku zote wa kubadilisha dini na sio mwanaume ndio abadili bana....la sivyo bora kukaa na kila mtu dini yake ila kama ulivyosema inaweza kuja kuwa problem kwa watoto kwa kukulia mazingira ya wazazi wasiokuwa na dini moja ya msimamo..
Nenda kafunge ndoa kwa mkuu wa mkoa mambo yaishe
Mimi ni kijana mkatoliki mwenye miaka 24 nina soma chuo mwaka wa tatu,mpenzi wangu ni muislamu anaelimu ya kidato cha nne kwa sasa anaishi na wazazi wake, mausiano yetu ni takribani miaka 2, ktk mazungumzo yetu ananitaka nibadili dini,ila mimi sijalizungumzia hilo kwasababu wazazi wetu wote hatujawafahamisha ila tuna mpango.kubadili dini siwezi na mpenzi wangu siwezi kumuacha,nina pata utata sana, hata sijui nifanyeje ndg zangu?
Yap mwanamke ndio siku zote wa kubadilisha dini na sio mwanaume ndio abadili bana....la sivyo bora kukaa na kila mtu dini yake
Siku zote mtu anayebadili dini kwa sababu ya mtu huwa namuona ni mtu aliyekosa msimamo.
Leo akikubwaga utabadili tena urudi ulipotoka?
Hakika utajuta sana.
Simshauri yeyote kati yenu abadili dini.