umeshaileta bongo?
Thanks kiukweli hata mimi sasa nimeelewaHiyo gear lever ina batani moja tu, hiyo batani pia ina tumika kuingiza gear.
Ukisukuma gear lever kwenda kwenye position ya gear namba 1, gear namba 2 utabonyeza tu batani kisha utakanyaga clutch while gear lever ikiwa hapo hapo kwenye namba 1...
Vp mwalimu ulishapata ajira?
JKT ulifanikiwa 2017?
Dada ulimnunulia smart ya 250K?
Sent using Jamii Forums mobile app
gari gani hiliView attachment 1346074
Naukubali sana huu mlori
Peterbilt, it's an American truckgari gani hili
Mzee tunaomba kazi bc kwny hzo gari zakoMimi scania mbili na volvo 1 kwa kazi za shamba na zinginezo.mwakani naongeza volvo nyingine moja iwe bila bila.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri tunawaza pamoja.... Napenda Sana Hizi mashine hasa R420Katika gari ambazo lazima nije nimiliki ni pamoja na Scania, hizi gari hata zikipita mbele ya macho yangu naona fahari kweli afe kipa afe beki, SCANIA FOR LIFE.
View attachment 1344287View attachment 1344290
Sent using Jamii Forums mobile app
Motivational Speaker naona mmeanza mwaka na Ndoto za SCANIA
Usisahau kuwapa tenda ya kusomba hoho na tangawizi kutoka upareniMotivational Speaker naona mmeanza mwaka na Ndoto za SCANIA
I think 113 high na lowKwa sasa napambana na gia 16 yaani ukizoea raha sanaView attachment 1344473
Haijawahi kuwepo scania ya hivyo!I think 113 high na low
Uje ukae hapa kushoto mara moja moja nakuachia umwage upepo [emoji4][emoji4][emoji4]Karma hebu njoo[emoji23][emoji23]
Hakuna kitu napenda kama scania. Utoto wangu nimekulia kwenye haya madude porini. Yaan nayapendaaa.. sitaki ya kurithishwa nataka ya kunua mwenyewe. Napendaga kitu inavyocheuaaa. Ule mngurumo sasaa[emoji23][emoji23]
Na honestly naplan kwenda kusoma mechanics niyajue vzr. Si hata hapo VETA wanafundisha? Ila sasa sitaki kufanya paper[emoji23] Scania is bae bwanaaaa....