Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

Status
Not open for further replies.
Mkuu weka aina nyingi za magari na hakikisha ni new models
 
Haha kaka ake ,tuache utani hii mashine ni tamu kiaje yani, nilifanikiwa kuendesha ya brother etu mmoja hv doh...watu wanaishi wajameni, sie twasindikiza
Yaani ni full luxury car.
Gari tamu kweli ila sote tunaishi hakuna msindikizaji.. Kikubwa ni kuridhika na alichokupa mungu na kufanya bidii zaidi kufika huko walikofika
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…