Master of the game
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 5,858
- 2,697
Land cruiser VX
Mwaka:2007
Bei: Milioni 35
Mawasiliano:0658124554
Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lakoView attachment 1162789View attachment 1162790View attachment 1162791
Ukute Ni 30 Hiyohiyo, 5 Kaongeza Yeye, Madalali Utawaweza HawaMkuu 30m itakulipa?....kama ndio tumalize biashara
daaahHilux Revolution
Mwaka:2015 upgraded 2019
Km 27000
Bei: Milioni 127
Mawasiliano:0658124554
Kuna gari unahitaji au unayo gari unauza wasiliana nasi tulipatie ufumbuzi hitaji lakoView attachment 1163156View attachment 1163157View attachment 1163159View attachment 1163161View attachment 1163164View attachment 1163175
Master of the game umegoma kunijibu?Master of the game kwa budget ya 5.5 M naweza pata gari gani la kutembelea? Sedan, lenye engine safi inayoweza kutoka dar to mwanza mara 4 kwa mwaka.
CC isizidi 1800 na engine isiwe mbovu.
Mtaani kwangu hapo...
Master of the game kwa budget ya 5.5 M naweza pata gari gani la kutembelea? Sedan, lenye engine safi inayoweza kutoka dar to mwanza mara 4 kwa mwaka.
CC isizidi 1800 na engine isiwe mbovu.
Una harrier new model, engen ndogo,
Gari isiwe imepigwa rangi(kukoga)
Iwe nmba d, Gari iwe imenyookaaa
Nna mtu Ana Hela iko kwenye mfuko wa Shati....offer yke mln 17 hadi 18
Kama unayo ntumie picha zake zote akiridhika mm Ntaku link na buyer direct
Ova
Mkuu Toyota Ipsum unayo? Nanibei gani?